Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Nimeangalia Mada ,nikaangalia jukwaa ilipo Mada, nimeelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, Mada husika na Jukwaa ni km vinaendana hiviJack acha kudanganya watu. Sema baby anakukamu usiku kucha
Hongera kwa kuwa na mtoto ila nijuacho mtoto kunyonya sana sio tatizo jaribu kumtengenezea chakula kigumu cha wastani na umbadilishie ratiba ya kula chakula cha usikuMwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Pole sanaMwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Hongera kwa kuwa na mtoto ila nijuacho mtoto kunyonya sana sio tatizo jaribu kumtengenezea chakula kigumu cha wastani na umbadilishie ratiba ya kula chakula cha usiku
Mwache anyonye,ni kipindi cha mpito tuu,.na ndio "umama" wenyewe huo.
Wewe nawe
Watoto wote wananyonya lakini wakiume nimewapa kombe. Wananyonya haijalishi wamekula chakula kingine au la! Zoezi la kunyonya hawalichanganyi na kitu chochote, linajitegemea.
Vumilia tu rafiki