Mtoto ananyonya sana usiku silali

Mtoto ananyonya sana usiku silali

Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Hongera kwa kuwa na mtoto ila nijuacho mtoto kunyonya sana sio tatizo jaribu kumtengenezea chakula kigumu cha wastani na umbadilishie ratiba ya kula chakula cha usiku
 
Mwanangu ana miezi 11 sasa alhamdulilah! Anakula vizuri .tu chakula cha usiku anakula around SAA 12 hadi saa moja jioni.Na Mimi nakuwa nimerudi toka mihangaikoni.
Ila shida ni kwamba ananyonya usiku kucha hata Mara kumi nashindwa kulala vizuri.
Naombeni ushauri wakuu.
Pole sana
 
Watoto wote wananyonya lakini wakiume nimewapa kombe. Wananyonya haijalishi wamekula chakula kingine au la! Zoezi la kunyonya hawalichanganyi na kitu chochote, linajitegemea.

Vumilia tu rafiki
 
Back
Top Bottom