It is a game of probability,inachukua popote;kwa mama,baba,bibi au babu wa pande yoyote hadi kizazi cha tano nyuma ndo mwishoHabar wana jf,nauliza ktk kutungwa kwa mimba akili ya kuzaliwa na ya darasani(intelligence) mtoto anaridhi kwa baba au kwa mama?? Tafadhar majibu ya kitaalamu....
mwe..uridhi huu, kumbeee
mwe..uridhi huu, kumbeee
Safest bet ili awe sharp kichwani ni mazingira tu unayomuandalia mwanao. Kuanzia mimba inapotungwa, mama inabidi awe stress-free na apate mahitaji yote muhimu. Lishe ni muhimu sana, miezi 6 ya mwanzo mtoto hatakiwi kugusa chochote zaidi ya maziwa ya mama yake, hata maji ya kunywa hayatakiwi. Akishavuka miezi 6 nadhani ndio anaweza kuanza kusagiwa mchanganyiko wa vyakula kama ndizi na samaki, viazi. Sembe na wali mwiko.
Akishafikisha miaka miwili nadhani ndio anaweza kukamua chochote, kwa sababu msingi utakuwa tayari umeshajengwa. Hii mambo aliniambia m'dingi kipindi flani so kuna vingine nimesahau, nitamuuliza fresh nikiwa tayari kufanya mambo.
Nadhani ukizingatia hayo, hata kama mama na baba mnatoka kizazi flani 'amaizing' na cha 'great thinkers', dogo atakuwa poa tu.
Mmmnnnhhhhhhhh.
Dogo langu uko vizuri eh.
Ila mdingi alianzaje anzaje kukuambia?
Hahaha, tulianzia kwenye story tu kama baba na mwanae, kama wanaume, na pia kama washkaji. Nadhani tulikuwa tunacheki documentary ya barefoot bandit kwenye tv. Dogo alikuwa anaiba ndege na boats ndogo na anazi-control kwa kusoma manuals na uzoefu wa kucheza video games. I was impressed by the dude, ndio katika kumjadili tukafika huko.
Ah,ok. Thought I had a nephew or niece somewhere na siambiwi.
Kuna madhara eyote mtot wa mwez 1na nusu kupatiwa maj yakunywa??? Msaada kidogo hapa wakuu
Habari wana Jf,
Nauliza katika kutungwa kwa mimba akili ya kuzaliwa na ya darasani (intelligence) mtoto anaridhi kwa baba au kwa mama?
Tafadhali majibu ya kitaalamu.