inatosha bhana,kwani we unamfahamu yeye ni nani?akiwa mwanaume au mwanamke inakusaidia nini,acheni hizo
Aaaaaggrihhhh.....Kumbe ni watoto wanacheza humu! Katiba hairuhusu kuchangia mambo ya watoto.Mtoto GilesI Mtoto uliyejaaliwa, ukipishana na mwanaume hata kama Ana mwenzi wake lazima ageuke, ukiembea makalio yako yanacheza huku yakitetemeka na kusababisha mioyo yetu kwenda mbio, umekula sana hela yetu ya vocha na saloon japo wengine hawawezi kijitokeza, Mtoto unaependa kuchat zaidi ila simu hupokei eti ulikuwa mbali na simu, uko wapi mrembo mbona huonekani? Bado tunakupenda njoo tukupe na ushauri wa lile tatizo lako, GilesI
Its true mkuu ila amekula tuvocha.
:croc:Mwache akaliwe.....Wasikilize Wakubwa Wanachosema, Wanajua Zaidi