Mtoto hapati usingizi mpaka anuse nepi iliyotumika kwanza

Mtoto hapati usingizi mpaka anuse nepi iliyotumika kwanza

Mhh hii siyo hal ya kawaida,anahtaj msaada wa kiroho na kumkemea kwa sana maana tabia hii ikikua itazua makubwa mbeleni..yarabi tunusuru
 
badala ya kumpa nepi,angepewa kitu kingine cha kumsaidia alale nacho,kama ki gari kidogo,au kama wa kike mdoli.hayo ni mazoea tu kwa kuwa mama anamuachia na yeye anaendelea nayo.watoto wakikua wanakuwa na stage zao za vituko vyao,mwisho wa siku ataacha.ila la kunusa nepi nahisi sio mazoea mazuri

Kisukari,nashukuru kwa ushauri wako mzuri.
 
Mhh hii siyo hal ya kawaida,anahtaj msaada wa kiroho na kumkemea kwa sana maana tabia hii ikikua itazua makubwa mbeleni..yarabi tunusuru

Charty, asante sana kwa ushauri wako nitaufanyia kazi.Ubarikiwe.
 
Nashauri apelekwe kwenye maombi pia jaribu kukaa karibu na mama mwenye mtoto muulize kama hajajihusisha na miujiza ya giza kupata huyo mtoto. Tabia ya kuwashirikisha waganga ili upate mtoto huibua sintofahamu nyingi yapaswa zipigwe vita na tumkabidhi Mungu shida zetu yeye ndiyo jibu.

Asante kwa ushauri mzuri mkuu Kisima,nitacheck nae kuhusiana na hilo.
 
Aligunduaje ?..., I mean ilikuwaje hadi akajua nepi itamlaza , what happen kwa mara ya kwanza ?

Mkuu KeyserSoze, swali zuri la kufikirisha. Ok nitacheck na mama wa mtoto kujua alianzaje. Asante ndugu yangu.
 
Mkuu KeyserSoze, swali zuri la kufikirisha. Ok nitacheck na mama wa mtoto kujua alianzaje. Asante ndugu yangu.
Nadhani tatizo sio mtoto bali ni mzazi, ni jukumu la mzazi kukataza / kupinga tabia zote mbaya mtoto anazozianza na sio kuziendeleza... Kuna imani kwamba mtoto anapozaliwa huwa ni blank slate (Tabula Rasa) yaani ni kama ubao, tabia anajifunza kutoka kwenye jamii, wazazi na watu wanaomzunguka
 
Nadhani tatizo sio mtoto bali ni mzazi, ni jukumu la mzazi kukataza / kupinga tabia zote mbaya mtoto anazozianza na sio kuziendeleza... Kuna imani kwamba mtoto anapozaliwa huwa ni blank slate (Tabula Rasa) yaani ni kama ubao, tabia anajifunza kutoka kwenye jamii, wazazi na watu wanaomzunguka

Mkuu KeyserSoze, nakubariana na wewe.Ni kweli kabisa ni jukumu la mzazi kuhakikisha anamlea na kumkuza mtoto ktk njia nzuri ili hatimaye aje kuwa raia mwema baadaye na hii ni vyote,kimwili na kiroho.
 
Back
Top Bottom