Yaani huu ulezi mwengine hatari mno![/QUOTE
Sio ulezi ,short cut za kulisha watu wanafikiri mtoto utamlisha kwa dakika mbili,lazima uiweke at least an hour ,mtoto anaweza akawa hakipendi chakula inabidi um cajole.
Hizi short cut zao watatuulia wajomba!
Heshima kwenu wakuu.
kuna mtoto wa rafiki yangu ana miaka kama mitatu amepaliwa au alibanwa pua ili ameze chakula , chakula kikabana njia ya hewa..
_Hali kama hii ikitokea huwa inakuweje?kwani tunavyoongea mtoto amewekewe oxgen na yupo ICU.
_Namuonea huruma sana Mungu amponye upesi