Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Heshima kwenu wakuu.
kuna mtoto wa rafiki yangu ana miaka kama mitatu amepaliwa au alibanwa pua ili ameze chakula , chakula kikabana njia ya hewa..
_Hali kama hii ikitokea huwa inakuweje?kwani tunavyoongea mtoto amewekewe oxgen na yupo ICU.
_Namuonea huruma sana Mungu amponye upesi
kuna mtoto wa rafiki yangu ana miaka kama mitatu amepaliwa au alibanwa pua ili ameze chakula , chakula kikabana njia ya hewa..
_Hali kama hii ikitokea huwa inakuweje?kwani tunavyoongea mtoto amewekewe oxgen na yupo ICU.
_Namuonea huruma sana Mungu amponye upesi