Mtoto Kipenzi wa Dar es Salaam alipoa kweli ila kwakuwa Baba Kipenzi amesharejea leo Mji Mkuu halisi naye ataanza kujitokeza

Mtoto Kipenzi wa Dar es Salaam alipoa kweli ila kwakuwa Baba Kipenzi amesharejea leo Mji Mkuu halisi naye ataanza kujitokeza

Mzukulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2020
Posts
1,401
Reaction score
2,641
Ili Baba yake amuone kuwa yupo na anafanya Kazi najua kuanzia leo atafufuka huko alikokuwa kajificha ili kutafuta Sifa zaidi kwa Baba Kipenzi.
 
Hahaha nadhani kwa sasa anaosha vyombo vichafu na kufuta Sofa's
 
Hahaha nadhani kwa sasa anaosha vyombo vichafu na kufuta Sofa's

Jamaa huwa ananichekeshaga sana yaani Baba yake akiwa nje ya Dar es Salaam nae huwa anaunyuti, ila akirejea tu utaona anavyotutumuka mno.
 
Sio wakushikiwa sema hv bichwa kubwa ubongo wa mende

Maana ungekua unaushika ww nafuu

Hebu Wapishe wenye Akili za haraka wauchangie huu Uzi tafadhali na Wewe mwenye Panzi Brain na Pua yako Kubwa kama Tairi uwe Mtazamaji tu.
 
Vibendera Tayari Thread yakijinga

Ukielewa vyema maana ya Neno Chit Chat kisha kwanini nimeuweka hapa huu Uzi huwezi Kushangaa ila ukiwa ni Juha wa Kurithi utateseka sana.
 
Jamaa huwa ananichekeshaga sana yaani Baba yake akiwa nje ya Dar es Salaam nae huwa anaunyuti, ila akirejea tu utaona anavyotutumuka mno.
Now atakuwa amekopa nyama ya mbuzi,ili amuibie mzee baadae.
Huyu jamaa huwa ananifurahisha sana kwa mbwembwe zake.
Kuna Siku alilia kanisa 🙂 🙂
 
Kama ukiwa huna Uhakika na Jambo au pengine hata hulijua hata Kunyamaza pia ni sehemu ya Busara na Hekima kuliko Kukurupuka kama hivi.
Wewe kenge ebu tulia ,una mdomo mkubwa utafikiri taco la huyo Bashite unayemteta hapa
 
Mwaka wa uchaguzi huu
IMG_2652.JPG
 
Back
Top Bottom