Mtoto kujishika kwenye sehemu yake ya haja ndogo

Mtoto kujishika kwenye sehemu yake ya haja ndogo

Wakuu salama,

Takriban kama wiki mbili au tatu, mtoto wangu wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu ameanza tabia ya kujishika mara kwa mara kule kwa babu wake.

Hii hutokea wakati wowote akijisikia, hata akiwa amelala na ukimvalisha kaptula ukafunga barabara utakuta ameshafungua na kujishika shika.

Tumeenda hospitali kupima kama ana UTI lakini hakuna UTI na wala kwa babu hakuna dalili yeyote ya kidonda labda kinachomuwasha.

Hii itakuwa ni nini?

Naombeni msaada wa kimatibabu na ushauri zaidi.

nawasilisha
I need to know your gender please?

It seems you are a girl,but in your profile you introduce yourself as a male.
 
Wakuu salama,

Takriban kama wiki mbili au tatu, mtoto wangu wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu ameanza tabia ya kujishika mara kwa mara kule kwa babu wake.

Hii hutokea wakati wowote akijisikia, hata akiwa amelala na ukimvalisha kaptula ukafunga barabara utakuta ameshafungua na kujishika shika.

Tumeenda hospitali kupima kama ana UTI lakini hakuna UTI na wala kwa babu hakuna dalili yeyote ya kidonda labda kinachomuwasha.

Hii itakuwa ni nini?

Naombeni msaada wa kimatibabu na ushauri zaidi.

nawasilisha
Kampimishe U T I huenda ndo inamsababisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mtoto ana maradhi, Kw lugha nyepesi Kama mtoto haja Tahitiwa/Toharra,, Kumaugonjwa unaitwa (Kilawalawa)...Ugonjwa huu Husumbua sana watoto, pindi tu anapo hisi muwasho mkono haubanduki kunako kibamia chake, Na kama ni wakike Hali kadhalika, pia Tatizo hilo husababishwa maranyingi kuto mfanyia mtoto usafi kwakina ktk nyeti zake, NAKAMA UMESHA MTAHIRI, basi hilo nitatizo jingine kwangu mimi sina majibu yake,, pia kwa ushauri waulize wazee wa kubwa wanaweza wakakusaidia japo ushaur
 
You can't be serious.

How comes you don't know the changes that occur in males if you are a male?
Haaaaaaa ...........
it is my first born, and please be guided that not everything you must know, other things you learn from professionals like from JamiiForums.

be careful
 
Wakuu salama,

Takriban kama wiki mbili au tatu, mtoto wangu wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu ameanza tabia ya kujishika mara kwa mara kule kwa babu wake.

Hii hutokea wakati wowote akijisikia, hata akiwa amelala na ukimvalisha kaptula ukafunga barabara utakuta ameshafungua na kujishika shika.

Tumeenda hospitali kupima kama ana UTI lakini hakuna UTI na wala kwa babu hakuna dalili yeyote ya kidonda labda kinachomuwasha.

Hii itakuwa ni nini?

Naombeni msaada wa kimatibabu na ushauri zaidi.

nawasilisha
Itakua Gratification syndrome hiyo, kadiri anavokua ataacha tu....wala isikuumize kichwa ingawaje kisaikolojia kwa wazazi inakua changamoto kidogo maana siku anaweza kuwa mbele ya wageni alafu anafanya ishu kama hizo, kwahiyo relax tu as time goes on atapunguza
 
Itakua Gratification syndrome hiyo, kadiri anavokua ataacha tu....wala isikuumize kichwa ingawaje kisaikolojia kwa wazazi inakua changamoto kidogo maana siku anaweza kuwa mbele ya wageni alafu anafanya ishu kama hizo, kwahiyo relax tu as time goes on atapunguza
Ahaaa nakushukuru kwa ushauri ndugu yangu, ubarikiwe sana.
 
Ni hatua ya ukuaji mkuu,,mtoto akili yako huanzia mdomon yaan kila kitu akionacho hupeleka mdomon ,,then baadae huko kwa babu ,then tension yake anaihamishia wakat wa kujisaidia haja ,,,then kuna staji ya ukuaji ambapo mtoto wa kiume anaanza kumpenda mama ake na wa kike baba ake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna minyoo flani inaitwa (Pin worms) inakaa karibu na njia ya haja kubwa inasababisha kuwashwa sehemu hizo hasa wakati wa kulala au usiku muda huo ndiyo wanataga mayai hivyo wanakuwa active sana.
Mikoa kama Iringa ,Mbeya na Njombe hilo tatizo lipo sana.
Nakushauri jaribu kumpa dawa za minyoo au akapime choo.
Hilo tatizo kitaalam linaitwaje mkuu
 
Anaweza asiwe na UTI,Mngejaribu kupima na Minyoo yawezekana akawa na Pinworms ILA ni Kawaida!!
 
Hahaaa nikafikiri mwanangu anafuata nyayo za baba yake za kufukizia mademu....kumbe ni tabia za watoto wote..[emoji23][emoji23][emoji23]

love thé love or hâte thé love.....
 
Back
Top Bottom