Mtoto kukataa kula

Mtoto kukataa kula

Unajua shida hii mara nyingi inawakumba watoto wa familia bora ila huwezi kuikuta kwa wale watoto ambao msosi ni gombania goli,hebu karibu kumpeleka likizo mazingira tofauti na hapo.

Hapa tunajaribu kushare uzoefu tu coz tayari hospitali ushaenda na matokeo bado ni negative.Kuna watoto ambao hawapendi kula kabisa hivyo bila kuwa mkali utasumbuka sana nakumbuka nilikuwa na jirani yangu baba na mama mtoto anawagomea kabisa kula hivyo nasubiriwa mm nitoke kijiweni SAA 5usiku maana bachelor narudi muda naotaka,then nawakuta wananisubiri niwalishie mtoto na nikifika bila ukali namlisha habakizi hata kidogo.Hiyo hebu jaribu kuwa mbunifu tu unaweza pata solution.

Sent using Jamii Forums mobile app

*******
Ahsante bachelor sugu ingawa kwa muda huu bado yuko kwenye familia ya kawaida sana, lakini wacha tujaribu njia zote, ahsante sana kwa ushauri na hongera ulifanya kazi nzuri kuwaokolea mtoto, maana inakuwa shida akiuugua.
 
*******
Ahsante bachelor sugu ingawa kwa muda huu bado yuko kwenye familia ya kawaida sana, lakini wacha tujaribu njia zote, ahsante sana kwa ushauri na hongera ulifanya kazi nzuri kuwaokolea mtoto, maana inakuwa shida akiuugua.
Poa mkuu yaani changamoto za malezi ya watoto ni nyingi mno,maana ww unahangaika wako hataki kula wakati kuna mdogo wangu huyo yy tulikuwa tunahangaika kumzuia asile yaani mnamkamata mikono mnamtoa kwenye sahani mpaka mgeni akiwakuta anaweza akawahisi vibaya ila yote ni kwa kuwa ilikuwa TOO MUCH.
Imagine mtoto wa STD 2 ana kilo zaidi ya 50 na sio km anaumwa!Pirika zake sio kidogo akilala ndo utajua kuwa amepirikika kiasi gani mchana.

All the best mkuu tuko pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
******
Ndugu Sky Eclat na nyote, ahsantenii kwa ushauri mzuri, je kama ana miaka 10 lakini ana shida kama hiyo nifanyeje, maana hospitali tuliambiwa atabadirika lakini tumempa kila aina ya matunda na kila aina ya vyakula hali haibadiriki, hata vyakula vizuri kiasi gani.Natamani ungeniruhusu niwe nakuuliza/kukueleza mara kwa mara maendeleo yake, Mungu awabariki wachangiaji nyote.
Muulize daktari kama kuna umuhimu wa mtoto kutumia Vitamin B complex Kama tatizo ni kubwa. Itampa hamu ya kula.
 
Unajua shida hii mara nyingi inawakumba watoto wa familia bora ila huwezi kuikuta kwa wale watoto ambao msosi ni gombania goli,hebu karibu kumpeleka likizo mazingira tofauti na hapo.

Hapa tunajaribu kushare uzoefu tu coz tayari hospitali ushaenda na matokeo bado ni negative.Kuna watoto ambao hawapendi kula kabisa hivyo bila kuwa mkali utasumbuka sana nakumbuka nilikuwa na jirani yangu baba na mama mtoto anawagomea kabisa kula hivyo nasubiriwa mm nitoke kijiweni SAA 5usiku maana bachelor narudi muda naotaka,then nawakuta wananisubiri niwalishie mtoto na nikifika bila ukali namlisha habakizi hata kidogo.Hiyo hebu jaribu kuwa mbunifu tu unaweza pata solution.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtoto alikuja holiday kitaa kutoka majuu, hivyo alikuwa mvivu wa kula. Madogo ya huku kwetu hayakuelewa dogo anazembea mayai na sausages.
 
Jaribu kumuwekea finger foods. Hivi ni vyakula kama nyama za kavu bila mchuzi, carrots, viazi, mihogo ya kuchemsha na matunda kama zabibu lakini zikatwe katikati, machungwa na machenza yaliyomenywa.
Weka sehemu anayofikia, akisikia njaa atachukua.

Kuna watoto ambao hawapendi routine ya chakula lakini wanaokoteza huku wakiwa wanaendelea kucheza.
Huenda ukawa mlezi mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimpe chakula siku nzima njaa itamuuma mwenyewe tu atakula, inawezekana mna walisha milo 8 kwa siku watoto [emoji28]
 
Back
Top Bottom