wadau au Ma-Dr..wengi kati yetu tuliwahi kula mchanga wakati wa udogo/utoto wetu...na tukapata Minyoo si mchezo...sasa tumekuwa wakubwa tunaanza kuwaona watoto wetu au wa wenzetu wakila mchanga...wakati mwingine ndani kwako Tiles tupu...lkn the way watoto walivyo unashindwa jua...wanavyofanya hadi kuupata....
Kuna ushauri wowote ule?
Kuna ushauri wowote ule?