Mtoto Kula Mchanga!!!

Mtoto Kula Mchanga!!!

Chuma

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2006
Posts
1,324
Reaction score
43
wadau au Ma-Dr..wengi kati yetu tuliwahi kula mchanga wakati wa udogo/utoto wetu...na tukapata Minyoo si mchezo...sasa tumekuwa wakubwa tunaanza kuwaona watoto wetu au wa wenzetu wakila mchanga...wakati mwingine ndani kwako Tiles tupu...lkn the way watoto walivyo unashindwa jua...wanavyofanya hadi kuupata....


Kuna ushauri wowote ule?
 
wadau au Ma-Dr..wengi kati yetu tuliwahi kula mchanga wakati wa udogo/utoto wetu...na tukapata Minyoo si mchezo...sasa tumekuwa wakubwa tunaanza kuwaona watoto wetu au wa wenzetu wakila mchanga...wakati mwingine ndani kwako Tiles tupu...lkn the way watoto walivyo unashindwa jua...wanavyofanya hadi kuupata....


Kuna ushauri wowote ule?
Kula mchanga ni tafsiri ya mtoto kupungukiwa madini fulani mwilini.Jawabu la tatizo ni kuadhere kwenye LISHE BORA YA MTOTO.
 
Kula mchanga ni tafsiri ya mtoto kupungukiwa madini fulani mwilini.Jawabu la tatizo ni kuadhere kwenye LISHE BORA YA MTOTO.

Its true, kula mchanga ni dalili ya mtoto kupungukiwa na madini chuma mwilini ambayo ndiyo chanzo cha Haemoglobin (chembe nyekundu kwenye damu). Jitahidi kumpatia mtoto nafaka (cereals) ambazo hazijakobolewa.
Tatizo hili mara nyingi huwapata watoto wa kuanzia miezi sita na kuendelea kwani hapa maziwa ya mama pekee hayamtoshi mtoto.
 
Sorry, nafaka ambazo zimesagwa moja kwa moja bila kukobolewa.
 
Mtoto kula udongo sio jambo la ajabu,ni jambo la kawaida.Isipokuwa inawezekana ana upungufu wa madini fulani mwilini.Unatakiwa kuhakikisha kwamba mtoto wako anapata chakula ambacho ni bora,yaani chakula chenye virutubisho vyote.Kama huna uhakika wa chakula hicho, muona Daktari wa watoto aliye karibu nawe akupe ushauri.Mwisho hakikisha unampa mtoto wako dawa za kutoa minyoo angalau kila baada ya miezi mitatu.Halafu chuma kumbuka udongo na mchanga ni vitu viwili tofauti.Nadhani mtoto wako anakula udongo,sio mchanga!
 
Back
Top Bottom