mountain
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 757
- 311
Habarini ,naomben ushauri mwanangu tangu amezaliwa ana wiki mbili .alikuwa analala vizur na kunyonya vizur..sasa kuanzia jana ameanza kulala saaana zaid ya masaa matano na kuamka ukimnyonyesha atanyonya then analala,hapo hapo...sasa leo nmeona kama amenyong'onyea ...tatizo ni nn .?