mzalendo 1
Member
- Apr 17, 2015
- 22
- 8
Niende moja kwa moja kwny point, mtoto wangu mweny miak 4 anatokwa na mkojo, yan anahisi kutokwa na mkojo akitaka kuvua nguo mkojo tayar unamtoka,na usiku hujikojea mpk mar 3 je atakuw na tatizo au hali ya hewa, mwanzon hakuwa hivyo