muhuwesichimalamyasi
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 306
- 132
Wanajf polen na majukumu ya sikukuu.
Waungwana nina mtoto wangu ana siku kumi,tatizo linalomsumbua kitovu chake kinatoa damu.Nimekwenda hospital Dr ameniambia niendelee kukiosha tu bila kunipa dawa.
Naomba mwenye kufahamu dawa au ushauri aniambie.
Waungwana nina mtoto wangu ana siku kumi,tatizo linalomsumbua kitovu chake kinatoa damu.Nimekwenda hospital Dr ameniambia niendelee kukiosha tu bila kunipa dawa.
Naomba mwenye kufahamu dawa au ushauri aniambie.