JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mtoto huyo amefariki baada ya kuishi kwa siku saba tangu kuzaliwa kwake, Mbunge Irene alifariki dunia Aprili 24, 2022, katika Hospitali ya Tumbi wakati akipatiwa matibabu baada ya kujifungua mtoto huyo.
Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu aliwaongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Irene Alex Ndyamkama yaliyofanyika Aprili 29, 2022, Nsimbo Mkoani Katavi
Source: East Africa TV