TANZIA Mtoto mchanga wa Marehemu Mbunge Irene Ndyamkama afariki dunia

TANZIA Mtoto mchanga wa Marehemu Mbunge Irene Ndyamkama afariki dunia

RIP mtoto.Mungu wape uvumilivu familia ya wafiwa.
 
Ni aibu baada ya nchi kuwa huru zaidi ya miaka 60 bado huduma hii ni mfu, na hakuna kitu kinachoitwa eti ni kazi ya Mungu hii ni bushit, huduma zetu ni za ovyo mno na hatujifunzi kila linapotokea balaa ili tunusuru lisitokee tena,kile kipande cha kibaha to Moro kina ajali nyingi pale ilitakiwa tuwe na ICU ambulance ziwe Zina patrol pale, hospitals zote kwenye kile kipande ziwe na wataalamu na vifaa vya kutosha, nchi hii ina wataalamu hasa,Botswana na Namibia wapo wengi mno, dawa ni kuwashawishi warudi nyumbani
 
Kwa nchi zetu hizi suala la kupata mimba na kujifungua it's a SUICIDE MISSION.
 
Baada ya Mama kuitwa, akaogopa kuhusu maisha ya kachanga chake, katalelewa na nani?. Akaogopa katateseka akaamua kukaita na kwenda nacho kichanga chake.
Najua wengi hawalijui hili

Naamini family itakalaza kachanga halo, ubavuni kwa mama yake alipolazwa.
Rip Mbunge, Mama na Mwana

P
Imejaa kiimani Zaidi...Kuna mtoto namfahamu alipozaliwa tu mama yake alifariki...but halo katoto mpaka Leo kanadunda kama miaka kama miwili hv now...
 
Kuna dada wa jirani alipata uchungu wa kujifungua tukampeleka hospitali ya serikali

Sasa akabaki na mama yake, mtoto hatoki manesi wanamuambia yeye sio wakwanza kuzaa

Kiufupi kama sio juhudi za mama yake na sisi majirani sijui ninikingetokea.

Nilirudi kumlalamikia mkuu wa pale akanijibu kwani alikufa?
 
Tatizo ni huduma duni za afya...
 
Back
Top Bottom