Baada ya Mama kuitwa, akaogopa kuhusu maisha ya kachanga chake, katalelewa na nani?. Akaogopa katateseka akaamua kukaita na kwenda nacho kichanga chake.
Najua wengi hawalijui hili
Wanabodi, Kifo cha Ephraim Kibonde kimeibua simanzi kubwa kwa sababu katika uhai wake hakuwahi kuugua, amekufa ghafla, hivyo watu kubaki na maswali mengi. Katika bandiko la Tribute to Kibonde, kuna mwana JF kaandika maneno haya kumhusu Kibonde. Sikumfahamu zaidi ya kumuona kwenye Mkasi...
Naamini family itakalaza kachanga halo, ubavuni kwa mama yake alipolazwa.
Rip Mbunge, Mama na Mwana
P