Mtoto mchanga wa wiki mbili anapata maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa

Mtoto mchanga wa wiki mbili anapata maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa

Nsennah

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2021
Posts
1,947
Reaction score
1,554
Habari madoctors!! Mwanangu ana wiki mbili toka azaliwe lakini ameanza kupata changamoto ya maumivu akitaka kujisaidia haja kubwa maana kanalia kakitaka kunya na pia hadi makalioni kamekuwa na rangi ya uwekundu. Naomba mwenye experience na hili suala anisaidie.
 
Habari madoctors!! Mwanangu ana wiki mbili toka azaliwe lakini ameanza kupata changamoto ya maumivu akitaka kujisaidia haja kubwa maana kanalia kakitaka kunya na pia hadi makalioni kamekuwa na rangi ya uwekundu. Naomba mwenye experience na hili suala anisaidie.
Issue za watoto wachanga huwa nashauri kuwaona madaktari bingwa wa watoto.

Usicheze na issue ya mtoto mchanga hajui kusema ni kulia tu.
 
Back
Top Bottom