Mtoto mdogo kuhisi kiu usiku ni tatizo?

Mtoto mdogo kuhisi kiu usiku ni tatizo?

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
1,011
Reaction score
1,681
Wakuu Salaam Kwenu nyote

Nina mtoto ana Miaka miwili na miezi kama minne siku za karibuni amekuwa na tatizo ambalo sijalielewa, Anakuwa na kiu sana usiku hasa majira ya saa tisa hadi 11 lazima aamke adai Mma(Maji) sijui hii itakuwa ni tatizo ama ni jambo la kawaida?

Naomba mwenye ufahamu anijuze tafadhali
 
Nawashukuru wote kwa majibu yenu maana nilikuwa nimeogopa sana
 
Kawaida hasa kama kaachishwa kunyonya
 
Wakuu Salaam Kwenu nyote

Nina mtoto ana Miaka miwili na miezi kama minne siku za karibuni amekuwa na tatizo ambalo sijalielewa, Anakuwa na kiu sana usiku hasa majira ya saa tisa hadi 11 lazima aamke adai Mma(Maji) sijui hii itakuwa ni tatizo ama ni jambo la kawaida?

Naomba mwenye ufahamu anijuze tafadhali
Kawaida anakua ana kiu.

Mimi kuanzia miaka 2 mpaka leo ana mitano lazima alale na maji maana ataamka tu kudai maji.
Mpe wawota tu kaka.
 
Back
Top Bottom