Mtoto mwingine wa kigogo ahangukia pua ndan ya kibaha form six results 2012

Mtoto mwingine wa kigogo ahangukia pua ndan ya kibaha form six results 2012

unatuumiza macho;

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="width: 22%"]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
LOOOOOOOOOOOOOOOOOO kaz kweli kweli, LAKIN HUYU ANAFAAA kumuoa MWANAISHA ili NDOA IWE NA AMANI, MAMA CHIZI BABA TAHAHIRA adi raha
 
div 3 mbona kajitahidi. wewe umepata ngapi?

mwenzio atakuwa anasubiri kupelekwa nje na pesa za nchi, we kaa unamleta humu. mie hata bmzazi wake sijui nikigogo wa nini au nani.
 
Hizo Point zinamwezesha kwenda kusoma chuo bora nje ya nchi ila UDSM /Mzumbe/Muhimbili/Udom hawata mchukua kwa Degiriii kwa kuwa ni vyuo bora kwa tz ....
 
Kweli kwa pointi hizo sept atakuwa st pettersburg Russia amini usiamini...maana mzee wake bado ana nafasi kusomesha bure watoto wake!!amejitahidi sana muacheni kijana wa watu!!
 
mbona kuna watu wana point 16 na bado wako,SUA,UDSM,MZUMBE,UDOM,NAkwingineko acheni hizo na wengine wameingia chuoni kwa pre-entry
 
not fair , hawa watoto wanafedheheshwa sana jinsi wandugu mnavyowa waanika , sijafurahi jinsi wanavyopata kadhia za namna hii kwa makosa ya wazeee wao , they are innocent
 
Huyu hapa umemuonea bure! Kafaulu kabisa, ukukokotoa cut-off point zake ni 4.0 ambazo vyuo kama SUA ,MUCCOBs nk minimum entry requirements ni hiyo. So kama mtu anaqualify kuingia chuo kikuu iweje useme kaangukia pua? Hizi zitakuwa chuki binafsi
 
huyo mbona kang'aza big to em ndio wasahishaji walivyompa bt uwezo wake unaweza ukawa ni zaidi ya hapo
 
huyu dogo kafaulu kabisa. Kuna manguin kibao walipata three na wako/wamepita vyuoni. Dogo kama unapita humu nakupa hongera.
 
Mbona mi nilipata ya 13 na ndio naingia mwaka wa 3 kajitaidi ingawa mi si ccm ila kajitaidi sana
 
unatuumiza macho;

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="width: 22%"]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

kwa PCB ni matokeo mazuri sana hayo
 
mbona kuna watu wana point 16 na bado wako,SUA,UDSM,MZUMBE,UDOM,NAkwingineko acheni hizo na wengine wameingia chuoni kwa pre-entry

toa UDSM we kilaza! Unafikiri chuo cha kata hiki!
 
Huyu hapa umemuonea bure! Kafaulu kabisa, ukukokotoa cut-off point zake ni 4.0 ambazo vyuo kama SUA ,MUCCOBs nk minimum entry requirements ni hiyo. So kama mtu anaqualify kuingia chuo kikuu iweje useme kaangukia pua? Hizi zitakuwa chuki binafsi

umekosea @ kingmairo,minimum point yake ni 3.5 na sio 4.0 kama ulivyorema.
 
Back
Top Bottom