Mtoto mwingine wa kigogo ahangukia pua ndan ya kibaha form six results 2012

Mtoto mwingine wa kigogo ahangukia pua ndan ya kibaha form six results 2012

Tanzania hamna chuo kinachochukua Cut Points below 4.5.. Kama kipo naomba mtujuze msianze kudhalilisha vyuo vyetu.

vipo sana, sema atakosa ufahili wa TCU. Kuna vingi vya private vinawachukua kwa kuwa wanajilipia, wanasoma vizuri tu. sheria ya tanzania, siyo cut point, bali ni principal mbli na subsidiary moja. na huyu anayetufanya tulumbane anazo kabisa halafu science.

kitu kingine anaweza asiende MD direct, akaanza na dip, halafu baadaye akaibuka. au vyuo vya cert na dip sio vyuo?
 
bu nambieni huyu atapata chuo? G/STUDIES-S HISTORY-E GEOGR-C ENGLISH-D
 
Kweli kwa pointi hizo sept atakuwa st pettersburg Russia amini usiamini...maana mzee wake bado ana nafasi kusomesha bure watoto wake!!amejitahidi sana muacheni kijana wa watu!!
Kama sijakosea sana Baba yake ni Marehemu Captain Jacka Mwambi amabe amewai kuwa mkuu wa wilaya pia Mkoa kwa nyakati mbalimbali na last tym alkuwa Rukwa hadi mauti yanamkuta mwanzoni mwa miaka ya 2000.
 
unatuumiza macho;

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi

[/TD]
[TD="width: 6%"]15
[/TD]
[TD="width: 4%"]iii
[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Naona mleta mada anachuki binafsi,Matokeo haya hayaridhishi ila si mabaya kama mtoa mada alivyo yaponda.tufikiri kabla ya kuandika mpeni nafasi ya kujipanga aweza kuwa mtu bora mbeleni!
 
Asa hapo pua gani ss, div hy ni kufeli kwani? ulitaka apate km yk, uchache wa vyuo Tz ndo unamfanya asipate nafasi hp tz, kungekuwa na 'uDOM' kila mkoa ama kila kanda angechaguliwa vzr tu
 
unatuumiza macho;

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Yan we unaongoza kwa akili zako za mgando! Sasa ulitaka apate DiV 1 pts 3? hata hiyo inamtosha kwenye chuo (oversea) coz ni uwezo na vigezo vinamruhusu. Kajipange upya
 
alieleta hii thread inaelekea punguani dogo kapiga pcb na ana principal 2 tayari chuo anapata kabisa na mkopo kama akiamua kusomea biashara au arts hata udaktari anapata watu nawajua pale muhimbili wapo na wamepiga div3 na wamepata kama angekua combination za arts ndo ingekula kwake but huyo kapitaa
 
Wewe ulipata division gani ya point ngapi? Nina wasiwasi kama hata mlango wa sekondari umeshawahi kuuona.
 
kajitahidi na chuo atasoma mbona!hiyo ni PCB si mchezo
 
Sina cha kujadili hapa, ni bora TUJITAFAKARI TULIKOTOKA.
 
Back
Top Bottom