Mtoto mwingine wa kigogo ahangukia pua ndan ya kibaha form six results 2012

Mtoto mwingine wa kigogo ahangukia pua ndan ya kibaha form six results 2012

ila mbona siyo matokeo mabaya hayo?...halaf msiwe watu wa haraka kusema wengine..huwezi kujua wakati anafanya mtihani alikuwa ktk hali gani..may be he was sick or....
sioni kama kafeli sana kama mwanaasha wa jk.
Raia mnavyojua kuwadhalilixha watoto wa wa2 cjui na nyie hamtakuwa na watoto bwana.
 
Mbona mi niko UDSM mwaka wa 1 na niliscore div. III point 15 PCM Tabora boys mwaka jana!
 
Acheni kuwadhalilisha watoto wa watu. Wewe ungesoma hiyo PCB ungepata ngapi??????? ACHENI UDHALILISHAJI, MNALISHUSHA JUKWAA THAMANI...
 
Mbona mi niko UDSM mwaka wa 1 na niliscore div. III point 15 PCM Tabora boys mwaka jana!

Huyo mleta mada sidhani hata kama amemaliza form four hawa ni wale wanaomaliza hawaju hata kuandika! Soma kichwa cha habari cha mada yake utaelewa nazungumza nini! Eti "[h=2]Mtoto mwingine wa kigogo ahangukia pua[/h]"
 
kwa PCB ni matokeo mazuri sana hayo

Halafu atatafuta Gengleman tuu, then utamkuta anakula kiyoyozi. wewe na one yako then upper second or first utatembea na bahasha mpaka ukome!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
PCB na yale mavitabu yao makubwa makubwa wanayosoma amejitahidi sana.
 
Mh mbona ni daktari mtarajiwa huyu kwanza mzazi wake hatashindwa kumpeleka nje kwenye vyuo bora vya udaktari alafu masomo aliyofaulu ndiyo core katika udaktari kwa hiyo mleta mada nafikiri amekosea kusema kaangukia pua amefaulu huyu na ni daktari mtarajiwa wa Tanzania
 
wanaomaliza elimu kwa sasa wanakosa vitu basics sana nadhani filamu za kibongobongo, bongo fleva ,uccm vinawarudisha nyuma sana
 
unatuumiza macho;

[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

mbona kafaulu? div iii, hata chuo anapata kwa taratibu za principal 2, subsidiary moja
 
div 3 mbona kajitahidi. Wewe umepata ngapi?
Mwenzio atakuwa anasubiri kupelekwa nje na pesa za nchi, we kaa unamleta humu. Mie hata bmzazi wake sijui nikigogo wa nini au nani.
pcb kupata div 3 ya 15 si haba, wakupongezwa huyo mimi nimesoma hiyo kombinesheni najua mziki wake.
 
Back
Top Bottom