peter mlokota
Member
- Jan 13, 2012
- 19
- 0
unatuumiza macho;
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD="width: 22%"]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
mbona kuna watu wana point 16 na bado wako,SUA,UDSM,MZUMBE,UDOM,NAkwingineko acheni hizo na wengine wameingia chuoni kwa pre-entry
Huyu hapa umemuonea bure! Kafaulu kabisa, ukukokotoa cut-off point zake ni 4.0 ambazo vyuo kama SUA ,MUCCOBs nk minimum entry requirements ni hiyo. So kama mtu anaqualify kuingia chuo kikuu iweje useme kaangukia pua? Hizi zitakuwa chuki binafsi