hhahahahhhahahhahahahahaahahaha
Raia mnavyojua kuwadhalilixha watoto wa wa2 cjui na nyie hamtakuwa na watoto bwana.
Mbona mi niko UDSM mwaka wa 1 na niliscore div. III point 15 PCM Tabora boys mwaka jana!
kwa PCB ni matokeo mazuri sana hayo
unatuumiza macho;
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa PCB kajitahidi
hhahahahhhahahhahahahahaahahaha
unatuumiza macho;
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
pcb kupata div 3 ya 15 si haba, wakupongezwa huyo mimi nimesoma hiyo kombinesheni najua mziki wake.div 3 mbona kajitahidi. Wewe umepata ngapi?
Mwenzio atakuwa anasubiri kupelekwa nje na pesa za nchi, we kaa unamleta humu. Mie hata bmzazi wake sijui nikigogo wa nini au nani.