mie hoi hapo kwenye LIKES RECEIVEDMsameheni bure huyo mleta mada kwani bado kamba yake mguuni haijakatika vizuri na inaelekea hajui madaraja ya sekondari yanakuwaje huenda ikawa yeye aliishia shule za upe
peter mlokota
Join Date : 13th January 2012
Posts : 18
Rep Power : 319
Likes Received 0
Likes Given 220
Tanzania hamna chuo kinachochukua Cut Points below 4.5.. Kama kipo naomba mtujuze msianze kudhalilisha vyuo vyetu.
Kama sijakosea sana Baba yake ni Marehemu Captain Jacka Mwambi amabe amewai kuwa mkuu wa wilaya pia Mkoa kwa nyakati mbalimbali na last tym alkuwa Rukwa hadi mauti yanamkuta mwanzoni mwa miaka ya 2000.Kweli kwa pointi hizo sept atakuwa st pettersburg Russia amini usiamini...maana mzee wake bado ana nafasi kusomesha bure watoto wake!!amejitahidi sana muacheni kijana wa watu!!
unatuumiza macho;
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15
[/TD]
[TD="width: 4%"]iii
[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
unatuumiza macho;
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TD]jeremiah j mwambi
[/TD]
[TD="width: 6%"]15[/TD]
[TD="width: 4%"]iii[/TD]
[TD="width: 58%"]g/studies-s physics-s chemistry-e biology-d bam-f[/TD]
[/TR]
[/TABLE]