Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Huo wimbo umenikuta mzee tayari. Imagine..[emoji3][emoji3]
Same to memie nadhan nilikua nina first born tayari[emoji23][emoji23]a.k.a nishazeeka
Kipindi hicho ulikuwa binti mbichi kabisa, nakukumbuka sana dada, nikikumbuka michezo ya utotoni mimi na wewe, basi mimi hoi [emoji39]we mkuu kipindi cha mpita njia mm mdada.
uyu dada yuko instagram uko hana followers wengi.
ni mwanadada makini sana anapendwa na rika zote. mama angu humwambii kitu na "Anita" uko kwa ringtone yake mwaka wa ngapi sijui tangu utoke.
mm naupenda " Beloved by You" & "Posa ya Bolingo"
uyu dada kanifanya niimbe kilingala[emoji7]
ana ladha ya pekee mana mziki wake utakuta English/swahili/Kilingala
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimemuuliza pia ana umri gani ... Maana wimbo unatoka tushakuwa na miji yetu na viumbe kutoka viunoni mwetu.Huo wimbo umenikuta mzee tayari. Imagine..[emoji3][emoji3]
Kuna wajukuu zetu humu mzee babaNdio maana nimemuuliza pia ana umri gani ... Maana wimbo unatoka tushakuwa na miji yetu na viumbe kutoka viunoni mwetu.
Una balaa wewe mtoto, i wish siku moja nikuone.Chura anayo kaka, sema chura wake ni chura fulani adimu, huwezi kumpata kokote, yeye ana chura wa bwawa la kihansi.
Isitoshe anavyo vingi vya kuvutia, - sauti tamu
- umbo malidhawa kabisa lile [emoji41]
kama hana chura basi ni useless
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kama hana chura basi ni useless
Huyo alicius mpumbavu kweli
Mwaka juzi alikuju tz kufanya shooting ya wimbo wake, akaulizwa kwann amechagua tz...... Akasema eti tz ndio nchi yenye maeneo ya uswazi mengi... Ambapo video yake inahitaji maeneo y uswazi.....
Kwann aisi shoot huko kenya hasa kibela
Chura anayo kaka, sema chura wake ni chura fulani adimu, huwezi kumpata kokote, yeye ana chura wa bwawa la kihansi.
Isitoshe anavyo vingi vya kuvutia, - sauti tamu
- umbo malidhawa kabisa lile [emoji41]
Huyu muha si ndo yule darasa LA saba alietoka kigoma juzi kati kuja dar kutafuta kazi heheheheh[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] muha una balaaa weeee
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa muongo nimekudanganya nini mkuuHuyu muha si ndo yule darasa LA saba alietoka kigoma juzi kati kuja dar kutafuta kazi heheheheh
Huyu jamaa muongo sana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana mbn poa tuHuyu muha si ndo yule darasa LA saba alietoka kigoma juzi kati kuja dar kutafuta kazi heheheheh
Huyu jamaa muongo sana aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa ndio amemaliza form 4 juziUna umri gani ...maana uanaposema ulikuwa mdogo wakati hiyo miziki nia miaka 7 - 8 tu imepita.