Mtoto mzuri sana yule ingawa sijauona mgongo wake
Mabilioni yanatafutwa tu mkuu!Amenitesa sana huyu binti napenda sana wa type hiyo hasa style yake ya nywele ila ikitokea napiga mshindo wa mabilion katika hii dunia lazima nihakikishe nammwaga maji hata akiwa m bibi ila naona amezaa namfuatiliaga insta naona kuna jamaa don yuko nae
Kwel mkuu ngoja tuchakarike nakubal sanaMabilioni yanatafutwa tu mkuu!
Cha msingi ni kuweka mitego ya kuyanasa tu.
Unaweza usiyanase mabilioni kama mabilioni, ila ukanasa hata nusu yake.
Cha msingi ni mitego.
Hebu niamkie wee mtoto, heshima kwanzaNilikuwa nina miaka saba ndugu