Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?

Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.

Britanicca.
Hiyo ndo CCM bana
 
Nabii Jamila, Mke wa Madeleka aliitisha press na kuiomba mamlaka imwondoe Kamba, na Bashe kuwa Wana agenda zisojulikana.

Alimtahadharisha pia Konda ajiuzulu KAZI ya kutumika Kwa umma sababu mikono yake ni michafu, akashauri ajiuzulu, asipojiuzulu, adui zake watammaliza.

Ngoja tuone!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…