Muwe mnaleta tetesi zilizo kamilika, sasa mtu kama yule kuwa hoi ndiyo mnafungua nyuzi? Mnashindwa kuvumiliapo kidogo?
 
Sio drama tuu hiyo? Maana DAB anaweza hata ku act amekufa ili mradi apate milage katika media.
Lakini pia kwa tabia zake hayuko salama sana ndio maana kila siku drama za manabii na mashekhe haziishi
Huwa binadam wakianza kutangaza umekufa,fanya maandalizi. Anytime unaondoka tu. Jiwe lilianguka. Yeye nani ashindikane?
 
Atakuja kujibu mwenyewe, tena kanisani kama alivyofanya V.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…