Kwanini asiweze kumuombea kifo mwingine? Kifo si ni kupendwa zaidi na Mungu? Acha amuombee apendwe zaidi, maana huku duniani ni kiumbe hatari kisichotakiwa.Usimtaje Mungu kwenye uovu wako.mtu wa Mungu hawezi kumuombe kifo mtu mwingine hata kama ni adui.
Uovu wangu au uovu wake nimeona watu wakiteseka live. Mtu alianza biashara kwa kukokota bidhaa na baiskeli dukani. Anaenda Bank kulipa watu anakuta akaunti zimefungwa. Mtu hajawahi kuajiriwa serikalini aisee. Mungu aitwe Mungu . Hapo ndio patamu maana watu wangeanza kuzusha ooh sijui hiki mara kile. Malipo ni hapa hapa duniani π π π π . Nimeshanunua Kreti yangu REWE nasubiri ''habari njema''.Usimtaje Mungu kwenye uovu wako.mtu wa Mungu hawezi kumuombe kifo mtu mwingine hata kama ni adui.
Kungekuwa na official statement ya ku verifu usingekuwa uvumi, ni uvumi kwa sababu hakuna official statement ya ku verify.Huu uvumi unaovuma mtandaoni kuhusu afya ya makonda kuna official statement yoyote ile kuverify.
Sasa official unataka kutoka kwa nani? Kwani Makonda ni Rais wa nchi hii?Huu uvumi unaovuma mtandaoni kuhusu afya ya makonda kuna official statement yoyote ile kuverify.
This logical fallacy is called argument from tradition.Who is makonda by the way?
Wakuu wangapi wa mikoa wamefariki na haikutolewa statement zaidi ya tangazo la kifo?
adui wa mtu ni mtu,Adui hatoki mbali
Amina.Mungu amponye
Ni RC wa Arusha kwahiyo anafanya kazi chini ya wizara ya ofisi ya rais TAMISEMI.Sasa official unataka kutoka kwa nani? Kwani Makonda ni Rais wa nchi hii?
Uko wapi huo uvumi,hebu uweke hapa.Huu uvumi unaovuma mtandaoni kuhusu afya ya makonda kuna official statement yoyote ile kuverify.
AminaMzalendo wetu tunamuombea apone haraka.Amina.
Ukingoja official statement hutaipata. Kumbuka wakati wa uvumi wa JPM kuumwa, tuliambia ni mzima na anachapa kazi. Na tukaulizwa au tunataka mpaka tumwone Magomeni?? Haya tuliambiwa na waziri mkuu..!!! Kumbe mwenzetu alikuwa hoi anaumwa.Huu uvumi unaovuma mtandaoni kuhusu afya ya makonda kuna official statement yoyote ile kuverify.
Lakini majuzi hapa wamemzushia pia Dr. Mpango na kumuwashia mishumaa na r.i.p nyingi mara kaibukia Dodoma kwenye sherehe fulani hivi.Ukingoja official statement hutaipata. Kumbuka wakati wa uvumi wa JPM kuumwa, tuliambia ni mzima na anachapa kazi. Na tukaulizwa au tunataka mpaka tumwone Magomeni?? Haya tuliambiwa na waziri mkuu..!!! Kumbe mwenzetu alikuwa hoi anaumwa.
LISEMWALO LIPO, KAMA HALIPO LAJA..!!
Ni kama tunaishi kuzimu hiviii,dah,najuta hata kuzaliwa.Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi?
Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu.
Britanicca.
Mkuu nipe update kama unazo za ndaaaaaani, mwendo ameumaliza?Uovu wangu au uovu wake nimeona watu wakiteseka live. Mtu alianza biashara kwa kukokota bidhaa na baiskeli dukani. Anaenda Bank kulipa watu anakuta akaunti zimefungwa. Mtu hajawahi kuajiriwa serikalini aisee. Mungu aitwe Mungu . Magu alifeli sana na aliowaaamini ndio waliommaliza. Hapo ndio patamu maana watu wangeanza kuzusha ooh sijui hiki mara kile. Malipo ni hapa hapa duniani π π π π . Nimeshanunua Kreti yangu REWE nasubiri ''habari njema''.
Kama haujui na haujaishi Maisha marefu kuna watu wanakufa hakuna hata mmoja anelia. Kila mtu anafurahi hii misiba nimeshashuhudia kama mitatu. Mimi nitakutumia Rambi Rambi kama akiondoka.
umeandika tena ukaandika. all in all, Mungu huwa anasamehe, vyovyote vile ulivyo.Uovu wangu au uovu wake nimeona watu wakiteseka live. Mtu alianza biashara kwa kukokota bidhaa na baiskeli dukani. Anaenda Bank kulipa watu anakuta akaunti zimefungwa. Mtu hajawahi kuajiriwa serikalini aisee. Mungu aitwe Mungu . Magu alifeli sana na aliowaaamini ndio waliommaliza. Hapo ndio patamu maana watu wangeanza kuzusha ooh sijui hiki mara kile. Malipo ni hapa hapa duniani π π π π .
Kama haujui na haujaishi Maisha marefu kuna watu wanakufa hakuna hata mmoja anelia. Kila mtu anafurahi hii misiba nimeshashuhudia kama mitatu.
Slander-mongering..
Si kwa namna hii ya mtoto pendwaLakini majuzi hapa wamemzushia pia Dr. Mpango na kumuwashia mishumaa na r.i.p nyingi mara kaibukia Dodoma kwenye sherehe fulani hivi.