PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Kwanini asiweze kumuombea kifo mwingine? Kifo si ni kupendwa zaidi na Mungu? Acha amuombee apendwe zaidi, maana huku duniani ni kiumbe hatari kisichotakiwa.Usimtaje Mungu kwenye uovu wako.mtu wa Mungu hawezi kumuombe kifo mtu mwingine hata kama ni adui.