Watasema ni uongo weka tarehe za video imechukuliwa lini na wapi?
Amekutumia wasapu au amepost kwenye instaguramu yake ya baba kigani?
Anakula 🦆 au ndio video ya wakati uliopita
TrueNi kweli kabisa ukitenda mema utalipwa hapa hapa Duniani na ukitenda mabaya pia malipo ni hapa hapa Duniani !
Tujitahidi kutenda mema!
Duniani tunapita tu !
Tamko lile sio rasmi la kiserikali bali la kihuni lililotolewa na mtu wa serikali.Serikali walitoa tarifa yuko likizo, ni wewe kuamini au kugoma
Tamko lile sio rasmi la kiserikali bali la kihuni lililotolewa na mtu wa serikali.
Halina tofauti na lile la Chalamila akiwa RC Mbeya kusema nimeongea na Jiwe jana kwa simu akiwa ofisini anachapa kazi kumbe yuko Mzena ICU
Kuna chanzo changu kimoja cha habari,kinasema kesho anarejeaBaba Kigani ni mtu wa Kiki lakini kiki zake hazizidi siku tatu ,hii amejichimbia inakaribia week ya tatu hii KIMYA.
MmHii picha inafikirisha sana
.Kuna chanzo changu kimoja cha habari,kinasema kesho anarejea
Kutoka likizo +
Ngoja tuone
Ova
Nilikuwa naipuuzia sana leo ndio leo hatimae nimepata mwanga kuihusuHii code ngumu Sana kufungua
Akifa wewe unafaidika au unapoteza nini?Mkuu hii comment yako imenifikirisha sana... MTU una hang nae kama rafiki kumbe yeye anakusomea gape ujae vizuri ili akutoe roho.... Hili jambo inabidi Wana jf wote tuungane tusaidiane kushangaa.... Yote kwa yote acha jamaa afe maana amefanya mambo mengi ya kipumbavu kwa muda mrefu. Mateso aliyowapa wenzie acha nae ayaonje!
and Death is her sister.Karma is a bitch…
Kuna chanzo changu kimoja cha habari,kinasema kesho anarejea
Kutoka likizo +
Ngoja tuone
Ova
Bashite anavyopenda kiki kuelekea 2025 asingekubali kuchukua likizo ya siku 28Nina imani SISIEMU ni tofauti na serikali ,aliapata ajira SISIEMU akatumikia kwa miezi kati ya minne hadi mitano then akapata ajira serikalini napo ametumikia mpaka sasa miezi miwili hadi mitatu....Hivi likizo unahama nazo ukitoka SISIEMU kwenda Serikalini? Serikalini tangu aanza kazi kwa miezi hiyo michache anaqaulify kupata likizo ya siku 5 tu...Sasa mbona ameenda likizo muda mrefu?
Qurani inasemaje kuhusu Yesu?Alifufuka wapi? hapo kwenye kufufuka ndipo uongo ulipoanzia, mengine hayo ya mateso na kuwambwa msalabani ni ukweli