Tamko lile sio rasmi la kiserikali bali la kihuni lililotolewa na mtu wa serikali.
Halina tofauti na lile la Chalamila akiwa RC Mbeya kusema nimeongea na Jiwe jana kwa simu akiwa ofisini anachapa kazi kumbe yuko Mzena ICU

Baba Kigani ni mtu wa Kiki lakini kiki zake hazizidi siku tatu ,hii amejichimbia inakaribia week ya tatu hii KIMYA.
 
Hii picha inafikirisha sana
 

Attachments

  • 20240729_103428.jpg
    867.6 KB · Views: 5
Akifa wewe unafaidika au unapoteza nini?
 
Bashite anavyopenda kiki kuelekea 2025 asingekubali kuchukua likizo ya siku 28
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…