Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Ila nimejifunza kuwa watu wanasahau kuwa Kuna kusamehe!
Wanasahau kuwa mtu anaweza fanya vitu vby na akabadirika kuwa mtu tofauti,na akajutia, ni vile tu hawezi tangaza!

Watu wanabaki na Yale ya zamani
Yaani mtu afanye ushenzi na ukatili akitegemea kesho itamsafisha? Hata akibadilika, hiyo ni kwa faida yake, ila kwa aliyoyafanya lazima ayalipe.
Yaani afanye ushenzi, ushenzi huo umpandishe hadhi kisiasa, halafu aendelee kuiishi hadhi hiyo huku akisema yale ni ya zamani? Hakuna hiyo.
 
Back
Top Bottom