Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Eenhhee, tuendelee tulipoishia...
Sasa ikaweje baada ya sumu?

Huyo zero brain leo ukimuangalia tu unaona kuna namna hayuko sawa sio kawaida yake kuwa mtulivu kama hivyo.
Hata hiyo outfit aliyotoka nayo ni kuficha muonekano wake halisi halafu alikuwa anajikuna sana nafikiri ni side effect ya hiyo detoxification iliyofanyika.
 
Nimemuangalia huyo zero brain kwenye hiyo PR ya leo.

Kiufupi nimenotice hayupo sawa ni labda kapata recovery ndio wakamtoa aje apige PR .

Kwani mmesahau Philip Mpango akiwa waziri wa fedha na siku chache nyuma alisema ofisini kwao kuna Covid 19?? ila alivyoletwa kuzungumza mbele ya camera kuonyesha hakuna ugonjwa aliishia kukohoa mwanzo mpaka mwisho.

Mimi bado naona kuna kitu hakikuwa sawa ila kapata ahueni ndio wamemtoa.

Muda utasema tu.
Kwa hiyo wewe Makonda ndo unamwita zero brain mtu anakuzidi life standard! Mwenzako ana Jubilee Insurance anatibiwa popote wewe ukiumwa hapo ulipo na akount yako feki mkibinzo na simu zitapigwa mpaka kwa bibiyako! Makonda anakuzidi kila kitu tulia endelea na maisha yako maombi yako ya Kishetani yamweshindwa!
 
Kwa hiyo wewe Makonda ndo unamwita zero brain mtu anakuzidi life standard! Mwenzako ana Jubilee Insurance
Pole sana kwahiyo hayo ndio kuwa na bima ya Jubilee maendeleo kwako eeh ? Binafsi mimi nilishapita hizo level.

Yes ni zero brain hujui alipata sufuri kidato cha nne ila kwakuwa meritocracy sio issue Tanzania mtu kama huyo anaweza kumuongoza hata Professor Janabi!

Mimi ninayo life insurance kabisa kutoka Penn Mutual
anatibiwa popote wewe ukiumwa hapo ulipo na akount yako feki mkibinzo na simu zitapigwa mpaka kwa bibiyako
Oh pole ! Sana ndio CCM imewadanganya hivyo ?

Sio ajabu mmeshindwa kuendana na kasi ya Aga Khan.
! Makonda anakuzidi kila kitu tulia endelea na maisha yako maombi yako ya Kishetani yamweshindwa!
Sihitaji kumzidi Makonda zero brain mimi nashindana na mtu ambaye nikijiangalia kwenye kioo namuona, huyu ndio nataka niwe bora kuliko yeye kila iitwapo leo.

Huyo Makonda amekuwa mtumishi wa umma ila kilipofika kipengele cha kufanyiwa lifestyle audit[ ambayo ni kisheria ipo kwa mtumishi wa umma] ndio walipochora mstari , kazi kwako nadhani utakuwa zero brain mwenzie.
images (33).jpeg
 
Nimemuangalia huyo zero brain kwenye hiyo PR ya leo.

Kiufupi nimenotice hayupo sawa ni labda kapata recovery ndio wakamtoa aje apige PR .

Kwani mmesahau Philip Mpango akiwa waziri wa fedha na siku chache nyuma alisema ofisini kwao kuna Covid 19?? ila alivyoletwa kuzungumza mbele ya camera kuonyesha hakuna ugonjwa aliishia kukohoa mwanzo mpaka mwisho.

Mimi bado naona kuna kitu hakikuwa sawa ila kapata ahueni ndio wamemtoa.

Muda utasema tu.
Ukimchukia mtu mwisho utasema karudi miguu yake imepinda 😄
 
Kwa hiyo wewe Makonda ndo unamwita zero brain mtu anakuzidi life standard! Mwenzako ana Jubilee Insurance anatibiwa popote wewe ukiumwa hapo ulipo na akount yako feki mkibinzo na simu zitapigwa mpaka kwa bibiyako! Makonda anakuzidi kila kitu tulia endelea na maisha yako maombi yako ya Kishetani yamweshindwa!
Anamzidi kila kitu ?!! [emoji44][emoji44]

Like seriously mzeya ?!!

Anyways nimefurahi kumwona kamarada wetu El Commandante PM[emoji7]
 
Hata hiyo outfit aliyotoka nayo ni kuficha muonekano wake halisi halafu alikuwa anajikuna sana nafikiri ni side effect ya hiyo detoxification iliyofanyika.
Could be !
Ila amedhoofika na haonyeshi zile bashasha zake kama kawaida yake !
Lakini yawezekana maradhi yaliyomshika yalikuwa makubwa !

Lakini still nobody knows for sure what happened to him !
 
Hakuna kitu, mleta mada mwenyewe member wa committee of syndicate na ndiye amepewa jukumu ku create hizi scenarios. Huyo Bashite wao wamemtunza sehemu wanataka wamuibue kama shujaa.
britanicca najua hili unalijua vyema kuwa upo hapo kuzichezea akili za hawa netizens.
Tunaiijua hiyo michuzo tulishamkatalia mleta mada kitambo tu.
 
Back
Top Bottom