Watanzania wajinga sana, tunapenda kutukuza vya wenzetu kuliko nyetu, sasa habari hii ni kubwa mpaka kuandika maneno meengi wakati hapa nchini kila kona ya nchi unasikia taarifa za kuuana lakini hamna mwandishi anayesogea kufanya uchunguzi au hata wahusika kufanya coverage.⁹