PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Wana jamii,
Ndugu yangu amekuwa akimlea mtoto msichana aliye fikiri ni wake ,mtoto anaishi na nyanya yake lakini ndugu yangu humtembelea mara kwa mara na humlipia fees, medical na mambo mengine financial support.Juzi akaelezwa kwamba mama ya yule mtoto amewambia wanaume wengine watatu eti mtoto ni wao ndio apata uhisani wa kifedha kutoka kwao.Ndugu yangu alikuwa anasema mtoto huyu ana fanana naye lakini since aipate habari hii hataki kumwona mtoto yule au kusikia lolote kumhusu.Juzi akaniambia yakwamba hata mtoto akilazwa hospitalini yeye hawezi akamtembelea.Mimi nika mwambia afanye DNA kabla ya ku fanya uamuzi wowote because huenda akawa mtoto niwake.Mamake mtoto alikuwa bikira walipokutana na ndugu yangu lakini after that akaingia kwenye maisha ya raha na kwa sasa hivi anayaishi maisha ya ukahaba na ulevi hadi hana wakati wa kumshugulikia ule mtoto.Tafadhali nipe mawaidha on what is the best way to handle this.Ndugu yangu amevunjika moyo kwa sababu alikuwa anampenda sana yule mtoto.
Ndugu yangu amekuwa akimlea mtoto msichana aliye fikiri ni wake ,mtoto anaishi na nyanya yake lakini ndugu yangu humtembelea mara kwa mara na humlipia fees, medical na mambo mengine financial support.Juzi akaelezwa kwamba mama ya yule mtoto amewambia wanaume wengine watatu eti mtoto ni wao ndio apata uhisani wa kifedha kutoka kwao.Ndugu yangu alikuwa anasema mtoto huyu ana fanana naye lakini since aipate habari hii hataki kumwona mtoto yule au kusikia lolote kumhusu.Juzi akaniambia yakwamba hata mtoto akilazwa hospitalini yeye hawezi akamtembelea.Mimi nika mwambia afanye DNA kabla ya ku fanya uamuzi wowote because huenda akawa mtoto niwake.Mamake mtoto alikuwa bikira walipokutana na ndugu yangu lakini after that akaingia kwenye maisha ya raha na kwa sasa hivi anayaishi maisha ya ukahaba na ulevi hadi hana wakati wa kumshugulikia ule mtoto.Tafadhali nipe mawaidha on what is the best way to handle this.Ndugu yangu amevunjika moyo kwa sababu alikuwa anampenda sana yule mtoto.