Mtoto wa Aunty azua zengwe, hafanani na Moze Iyobo

Rangi ya mtoto utaijua baada ya miezi sita, sasa hv bado anarangi ya ughaibuni.
 
Moso alikuwa mlezi wa mimba ya nyarandu .

Mi nadhani mama hasingiziwi mimba..........mpaka sasa nshasikia wababa 3 wa huyo mtoto........ila ukweli anaujua mamake.........
 
''Cookie Lapri - Center'' :confused2::confused2::confused2:
 
''Cookie Lapri - Center'' :confused2::confused2::confused2:
Ulimbukeni mwingine! Ndo jina gani hilo sasa kwa mbantu? Jina kama katuni au mbwa wa kizungu!Ujinga ujinga tu. Pumbavu!
 
Na jina kachagua mama, Mose anabaki mume "hewala mama"
 
Umbea, fitina , majungu ndo shughuli zetu mjini hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…