Mtoto wa Castodickson ameharibika sana

hance bwana " Habari pila picture hauji kuwa inakuwa haina vitamins ...

by the way mtoto wa nyoka ni nyoka mkuu

huyo casto mwenyew hamna kitu mule .
 
Castro mwenyewe ana akili za Dr Shika aka Zero Brain ni wazi anacheza 30-33 sasa huyo mtoto wa miaka 16 kamtoa wapi? inamaana alimpata huyo mtoto akiwa na miaka 16? kama ndio basi maji hufata mkondo,kama yeye alianza ushenzi akiwa below 18 mwache na huyo so called mtoto wake afanye UTOM JELLY wake.
 
Walio karibu na Casto wamwambie amuokoe mapema mtoto wake lasivyo kuna mabaya zaidi yatamkumba na aombe sana mtoto wake asijiingize katika matumizi ya madawa ya kule
huyo casto kwani wewe unamuona yupo sawa?
 
Dick Son!? Hili jina linatakiwa kufanyiwa maombi.
 
Huyo castro dickson ndo nani na anajishughulisha na nini?,

Maana imebidi niulize tu sababu tangu mwanzo wa uzi sijaona picha
 
Mwanzo ulinitukanaga mno nilipokua naleta story za udaku humu

Huwezi kuwa "gentlemen" mmbeya hivi
 
Hance wa tunda umesahau kuweka picha ya Fatuma Castor Dickson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…