Kwenye hili kuna ukweli fulani ndani yake, tusipende kubeza kila jambo hata Yale ambayo yana ukweli.
Pesa mkuu,pesaa. Ila mchango wake katika jamii pia pengine,japo nao pia ni matokeo ya pesa. Ule usemi wa binadamu wote ni sawa ni uongo na ujinga tu. 😂😂 |
Nasikia kamuoa binti wa Harold matemba wa Victoria oil service station .matajiri wanaoana wenyewe kwa wenyewe
Gavana wa benki kuu ya LuguluniHeshima pesa shikamoo makelele tu, afu mkuu huyo kimei ni nani?
Kumbe ndo wewe
Nlkua nahisi hisi
Asante sana , bora uliondoka
Kwaio hadi leo bado unamsubiria anaekupenda sio
Ndoa maaskofu watatu. Hivi na za waumini wa kawaida huwa zinakuwa hivi? KKKT kwa kupenda wenye pesa tu. Yaani Shoo katoka Kilimanjaro kuja kufungisha ndoa Dar?Ama kweli Yesu peke yake ndo hakuwa mbaguzi.
Ukweli MtupuMimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
OsamaMkuu mleta maada sasa hapo mtoto wa kimei ni yupi ni binti au huyo osama
Kimei ni Yule aliyesema kwamba ANKALI ndiye aliyefanya Utafiti akagundua kwamba CHATTLE panastahili kujengwa CRDB Bank,yaani mtaalamu wa KEMIA ya Kutu ya Maganda ya korosho kageuka Mtafiti wa UCHUMI,BANKING/FINANCE.Heshima pesa shikamoo makelele tu, afu mkuu huyo kimei ni nani?
Hivi huyo ndio BenK aliyekutana na Mchumba wake "TWIRA"?Sijaona hata ka funcargo, Daah acha tuzisake ngawiraView attachment 1194306View attachment 1194308View attachment 1194309View attachment 1194310View attachment 1194311
Tajiri akioa maskini atakuwa maskini kama atashindwa kumcontrol na muoelewaji asipokuwa na kiu ya maendeleo sababu atataleta idea, roho na tabia za kimaskini.Nasikia kamuoa binti wa Harold matemba wa Victoria oil service station .matajiri wanaoana wenyewe kwa wenyewe
Mahaba hadi likizo...kwaio mpo mbali mbali sioNiko nae kitambo tuu, tunakula Mahaba kila tukiwa likizo.
Daima Dumu Dadii
DDD.
NilikufananishaNiko nae kitambo tuu, tunakula Mahaba kila tukiwa likizo.
Daima Dumu Dadii
DDD.
Ha ha ha umenivunja mbavu...ukiwa NA hela ndoa ya mwanao itafungwa NA jopo LA wachungaji NA maaskofu.Namuona Shoo, Malasusa na mwingine sijui nani. Hivi ni kawaida hii ndoa kufungwa na wakuu wote hao?
mmpende Magufuli basi maana 90% aliowaajiri nikutoka kanda ya ziwaMimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
wewe unajua urafiki uliopo kati ya Kimei na hao viongozi wa dini au ushamba unakusumbua?Ndoa maaskofu watatu. Hivi na za waumini wa kawaida huwa zinakuwa hivi? KKKT kwa kupenda wenye pesa tu. Yaani Shoo katoka Kilimanjaro kuja kufungisha ndoa Dar?Ama kweli Yesu peke yake ndo hakuwa mbaguzi.
HahahahUkisikia mambo mengi muda mchache ndio hapo.Hapo watu wanataka kujiachia wakitoa zawadi zao,unaweza ukakuta walio jiandikisha kwa Dj kutoa zawadi wamejaza Counter Book Quire 2.
Hongereni wachaga kwa kuikuza bank ya CRDB. Ulitaka aajiri wacheza mdundiko? Unapotaka kufanikiwa unatafuta like mind people. Kuna kipindi enzi za kusaka kazi kuna kampuni ya kimataifa ilikuwa inaajiri. Ilipofika nchini iliingia na philosofia ya kuajiri watu wa kaskazini kwa kuwa waliambiwa toka kwao kuwa hiyo kanda ndiyo chapakazi. I tell you zile challenging positions zote walipewa wachagga wakapiga kazi mpaka wengine walipelekwa branches za nchi nyingine. Hata walipokuwa wameshikilia maeneo kama TRA mambo yalikuwa safi. Wanaitafuta pesa wanakula na kuhakikisha kuwa wanaendeleza taasisi. Si kama wenzangu na mimi akipata nafasi ni kula tu na kuongeza nyumba ndogo mwishowe kampuni au shirika linakufa. Angalia pensheni funds. Hivi kwrli kila mwezi unapokea michango ya mabilioni halafu unafilisika unashindwa hata kulipa mafao? Stupid