Mtoto wa Charles Kimei afunga ndoa Jijini Dar. Kweli mjini pesa shikamoo kelele

Mtoto wa Charles Kimei afunga ndoa Jijini Dar. Kweli mjini pesa shikamoo kelele

Hiv kuna CEO (ambae amepata kazi kupitia competitive process) toka kwa jamaa zetu?
 
Don't eat too much eat money,Money is defense!..
 
Halafu barua yenyewe kaandika kwa dharauuu hapo ni kama alitaka kusafisha njia tu kila kitu kilishaamuliwa nyuma ya pazia ila akashauri tu,kuwa mzee basi tunakuomba angalau uandike kabarua tuweke kwenye faili si unajua tena hawa malofa wanaweza anza kupiga kelele
 
Namuona Shoo, Malasusa na mwingine sijui nani. Hivi ni kawaida hii ndoa kufungwa na wakuu wote hao?
Inawezekana wengine wamealikwa kutokana na ukaribu wao kwa familia ya Dk. Kimei na nafasi yao katika Kanisa. Yaani ni ile "chonde chonde baba Askofu naomba tu uje kushuhudia harusi ya mwanangu, tiketi ya ndege ipo tayari" ingawa wakati mwingine ukubwa wa mtu na/au Pesa zake huweza kupindisha taratibu pia.
 
View attachment 1194789
Kwenye hiyo shareholding structure kuna sehemu unaona wachaga? Mbona wadanishi hawajajaa humo au watumishi kutoka ppf?

Kimei alikua mkabila hilo halina ubishi.
Ukikalia haya ata wajukuu zako watakua kama ww! Wekeza kwenye elimu mambo mengine yatajipanga yenyewe la sivyo utabaki kulaumu wachaga
 
Labda kweli. Sasa nataka nikupe taarifa tu kwamba Wachagga mtoto anazaliwa akiwa ana degree ya Financial management. Juzi tu nilikwenda benki moja ya serikali nikataka mkopo wa mil 100 jamaa akaniuliza duka lina thamani ya sh ngapi nikamwambia almost 60m akaniambia hawezi kunipa hizo eti ule mtaji wangu wa dukani utamezwa na ile pesa yao ya mkopo halafu badae mtaji utapotea, nikajiuliza hizi ndo application ya elimu ya darasani theoretically?
Kwa kumcheki tu yule dogo nikamwona huyu hajawahi hata kurisk na angekua Mchagga hapo angeniambia aisee mangi mbona unataka mil 100 si nikupe 200m kabisa, lakini hawa washamba wa pesa bana sijui wakoje
 
Impact ya Kimei kwa Jamii huweziilinganisha na mtu wa kawaida let's say hata mimi mwenyewe nafasi yake ina madai mengi zaidi kuliko ya mtu kama wewe. Hata utu tu wa ndani wa Askofu unamsukuma aende akafungishe
Ndoa maaskofu watatu. Hivi na za waumini wa kawaida huwa zinakuwa hivi? KKKT kwa kupenda wenye pesa tu. Yaani Shoo katoka Kilimanjaro kuja kufungisha ndoa Dar?Ama kweli Yesu peke yake ndo hakuwa mbaguzi.
 
Labda kweli. Sasa nataka nikupe taarifa tu kwamba Wachagga mtoto anazaliwa akiwa ana degree ya Financial management. Juzi tu nilikwenda benki moja ya serikali nikataka mkopo wa mil 100 jamaa akaniuliza duka lina thamani ya sh ngapi nikamwambia almost 60m akaniambia hawezi kunipa hizo eti ule mtaji wangu wa dukani utamezwa na ile pesa yao ya mkopo halafu badae mtaji utapotea, nikajiuliza hizi ndo application ya elimu ya darasani theoretically?
Kwa kumcheki tu yule dogo nikamwona huyu hajawahi hata kurisk na angekua Mchagga hapo angeniambia aisee mangi mbona unataka mil 100 si nikupe 200m kabisa, lakini hawa washamba wa pesa bana sijui wakoje
Unafikiri watu wa bank ni wageni na wenye maduka? Benki kibao zimelizwa na wenye maduka hasa Kariakoo
 
Back
Top Bottom