Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Undugulization na ukabila kwenye CRDB huwezi kuukwepa..unataka kusema wachapakazi ni wao tu tz nzima..y karibia 80% ya wafanyakazi wa benk hiyo ni wachaga..hili jambo usilitetee hata kidogo.
Mahaba hadi likizo...kwaio mpo mbali mbali sio
Nilikufananisha View attachment 1194682
Nipo NjemaAahahahahaaaa Ambiele unaniangusha banaaa, hapo kuna chotara wa Kinyamwezi na Tanga line?
Chakwikiadheee...!!?
Vipi yule wa kila kitu kanda ya ziwa, unampenda!?Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Inawezekana wengine wamealikwa kutokana na ukaribu wao kwa familia ya Dk. Kimei na nafasi yao katika Kanisa. Yaani ni ile "chonde chonde baba Askofu naomba tu uje kushuhudia harusi ya mwanangu, tiketi ya ndege ipo tayari" ingawa wakati mwingine ukubwa wa mtu na/au Pesa zake huweza kupindisha taratibu pia.Namuona Shoo, Malasusa na mwingine sijui nani. Hivi ni kawaida hii ndoa kufungwa na wakuu wote hao?
Ukikalia haya ata wajukuu zako watakua kama ww! Wekeza kwenye elimu mambo mengine yatajipanga yenyewe la sivyo utabaki kulaumu wachagaView attachment 1194789
Kwenye hiyo shareholding structure kuna sehemu unaona wachaga? Mbona wadanishi hawajajaa humo au watumishi kutoka ppf?
Kimei alikua mkabila hilo halina ubishi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umefunga mjadala wa maaskofu 3 kufungisha hiyo.Ikiitishwa Harambee kanisani unajificha au ukilazimishwa unachangia Jero. Wenzako wanachangia mamilioni halafu mnataka huduma sawa. Pambana na wana VICOBA wenzio huko Kipunguni.
Duuh long distance relationship sio mchezoYeah kumbe ulikuwa hujui, nasemaga kwenye thread zangu nyingi tuu...
Duuh long distance relationship sio mchezo
Ndoa maaskofu watatu. Hivi na za waumini wa kawaida huwa zinakuwa hivi? KKKT kwa kupenda wenye pesa tu. Yaani Shoo katoka Kilimanjaro kuja kufungisha ndoa Dar?Ama kweli Yesu peke yake ndo hakuwa mbaguzi.
Unafikiri watu wa bank ni wageni na wenye maduka? Benki kibao zimelizwa na wenye maduka hasa KariakooLabda kweli. Sasa nataka nikupe taarifa tu kwamba Wachagga mtoto anazaliwa akiwa ana degree ya Financial management. Juzi tu nilikwenda benki moja ya serikali nikataka mkopo wa mil 100 jamaa akaniuliza duka lina thamani ya sh ngapi nikamwambia almost 60m akaniambia hawezi kunipa hizo eti ule mtaji wangu wa dukani utamezwa na ile pesa yao ya mkopo halafu badae mtaji utapotea, nikajiuliza hizi ndo application ya elimu ya darasani theoretically?
Kwa kumcheki tu yule dogo nikamwona huyu hajawahi hata kurisk na angekua Mchagga hapo angeniambia aisee mangi mbona unataka mil 100 si nikupe 200m kabisa, lakini hawa washamba wa pesa bana sijui wakoje