Mtoto wa Charles Kimei afunga ndoa Jijini Dar. Kweli mjini pesa shikamoo kelele

Kwa akili yako labda umeona afisa wa benki amefahamu naweza kufanyaje ili niwalize. Kwa usilolijua siku hizi kuna system mpya inayohusiana na mikopo inaingiliana na mabenki yote Tanzania,
yani niweke bond nyumba ya zaidi ya mil 200 nikimbie na milioni 100, nianze kutafutwa dukani kila siku na kupigwa ban ya kukopa benki yoyote Tanzania. Ndo mana mnalalamika CRDB kumejaa Wachagga waacheni aisee hilo kabila limetupita mbali kwa maono. Tukubali tu
Unafikiri watu wa bank ni wageni na wenye maduka? Benki kibao zimelizwa na wenye maduka hasa Kariakoo
 
Ungekuwa na akili wasingekunyima hizo 100m. Wewe unafikiri ukiwa na kamtaji kako ka 60m ndio tiketi ya kupewa 100m. Kuna taratibu kama unajiona una akili timiza utapewa hio hela au ungekuwa na akili zaidi ungekuza kimtaji chako.
 
Ungekuwa na akili wasingekunyima hizo 100m. Wewe unafikiri ukiwa na kamtaji kako ka 60m ndio tiketi ya kupewa 100m. Kuna taratibu kama unajiona una akili timiza utapewa hio hela au ungekuwa na akili zaidi ungekuza kimtaji chako.
You nailed it.
 

Kuna wengi wame ijenga CRDB dont forget Kibonde Sineor alikuwa ni Mnyakyusa
 
Nimekupata. Hapa sikudhamiria ukabila kabisa ujue hivyo kwanza. Nimezingatia reality na sector ya bank. Bahati mbaya tuangalie proffessions zinazotakiwa kwenye taasisi zenye kutumia hesabu, medical etc. Yapo makabila ambayo ni mazuri kwenye maeneo hayo na wachagga huwakosi. Mkuu ninaomba kabisa nuondie kwenye ukanda na ukabila kama ilivyoshamiri kwa sasa kiasi kwamba akiamka muasisi wa taifa hili atazimia na na kufa na kuomba kabisa asifufuke tena siku ya mwisho. Ninaamini umenielewa.
 
Kuna wengi wame ijenga CRDB dont forget Kibonde Sineor alikuwa ni Mnyakyusa
There you are. Pale CRDB wapo pia makabila mengine hasa kutoka mkoa wa Mbeya. Na mengine tu. Na ieleweke kuwa Kimei sidhani kama ndiyo anafanya interview zote. Kuna levels. Na nyingi huwa ana contract out na wanaopata ndiyo wanaopigwa vita kila kukicha.
 
Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Ukitaka kujua tabia za wachaga wakipewa madaraka nenda CRDB. Hawa jamaa siku wakishika madaraka makubwa serikalini kama vile urais wanaweza kuleta machafuko makubwa sana kwa sababu ya ukabila.
 
Hongera Sana, ulifanya vizuri
 
Sijawahi kuona maaskofu wa RC wanafungisha ndoa chilia Mbali maaskofu kadhaa kukusanyika kufungisha ndoa kwa RC sijawahi ona sijui ni kwanini.
Sasa ndugu yangu upo Nanyumbu ndani ndani huko hao Maaskofu utawaonea wapi? Vitu vingine in bora kunyamaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…