Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kivipi shoga hebu nipashe haraka? Am dying to know!
Chaumbea mimi nimeshapata mkanda wote,sijui nianzishie uzi?Nenda kwa udaku Tz uone wema na zari wanapeana za uso sijui wameanzia wapi nimekuta hivo
Chaumbea mimi nimeshapata mkanda wote,sijui nianzishie uzi?
Aaah najisikia uvivu.
Ila Zari ndio mwenye matatizo.....
Uchokozi kaanza yeye.
Subiri nikusanye full details mamito.Ha ha ha ha ha kamfanya nini wema
Ha ha ha sasa hivi kofia ya warumi utaivaaSubiri nikusanye full details mamito.
Ole wako usiniiteSubiri nikusanye full details mamito.
Mkuu naona ambao wana tatizo na "nyota zao" wabonyeze "reli"!Nyotaaa nyota ndio tatizo languu, ai nyotaaaa inaongoza maisha yangu"