Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Sababu mimi namfahamu na ni inspirational figure kwenye jamii sio lazima anifahamu.Unapata wapi guts za kusema umepoteza heshima kwa binadamu ambaye hata hakufahamu?
Kwanza kwanini unajali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu mimi namfahamu na ni inspirational figure kwenye jamii sio lazima anifahamu.Unapata wapi guts za kusema umepoteza heshima kwa binadamu ambaye hata hakufahamu?
Mommafaccah!!!!Kaa mbali faggot.
Huyu ana laana 2:Binti wa tajiri Elon Musk aliyebadili jinsia yake amewasilisha ombi la kubadilisha jina lake kulingana na utambulisho wa jinsia yake mpya na kwasababu anasema "Siishi au nisingependa kuwa na uhusiano na baba yangu mzazi kwa njia yoyote ile, kwa umbo au muundo."
Ombi la kubadilisha majina yake yote mawili na kupata cheti kipya cha kuzaliwa kinachoonyesha utambulisho wa jinsia yake mpya liliwasilishwa kwa Mahakama ya juu zaidi ya Kaunti ya Santa Monica mwezi Aprili. Taarifa hii ilijulikana hivi karibuni kupitia baadhi ya mitandao ya habari ya kijami.
Mtoto huyo Bw Elon Must ambaye awali alijulikana kama Xavier Alexander Musk, ambaye hivi karibuni alitimiza umri wa miaka 18, umri ambao ni umri wa utu uzima katika California, ameiomba mahakama ibadili utambulisho wa jinsia yake kutoka ya kiume na kuwa ya kike na kumsajiri kwa jina jipya, kulingana na nyaraka za mahakama zinazopatikana kupitia mtandao wa PlainSite.org.
Jina lake jipya liliondolewa katika waraka wa mtandao. Mama yake ni Justine Wilson, ambaye alitaliakiana na Musk mwaka 2008.
Hakuna maelezo kuhusu nini kilichosababisha kutoelewana baina ya Bw Musk na binti yake.
Chanzo BBC Swahili
View attachment 2267472
Hata nyie ni zamu yenu kugongwa.Yaaani badala ya kutumia pesa ya baba kugonga warembo yeye ajiweka tobo
Astaghafilurah:-[[emoji24]
ALLAHU MAAMINKasi ya dunia ni kubwa kweli kweli....... Eeeh Mwenyezi Mungu tunakuomba utujaalie mwisho mwema.....
Huyo SONI mwenyewe Sasa!!!
Kwa ufupi Wazungu ni mashetani! Hivi hao wanaobadilishwa jinsia ni kweli zinafanana na zile zilizoundwa na Mungu mwenyewe?Binti wa tajiri Elon Musk aliyebadili jinsia yake amewasilisha ombi la kubadilisha jina lake kulingana na utambulisho wa jinsia yake mpya na kwasababu anasema "Siishi au nisingependa kuwa na uhusiano na baba yangu mzazi kwa njia yoyote ile, kwa umbo au muundo."
Ombi la kubadilisha majina yake yote mawili na kupata cheti kipya cha kuzaliwa kinachoonyesha utambulisho wa jinsia yake mpya liliwasilishwa kwa Mahakama ya juu zaidi ya Kaunti ya Santa Monica mwezi Aprili. Taarifa hii ilijulikana hivi karibuni kupitia baadhi ya mitandao ya habari ya kijami.
Mtoto huyo Bw Elon Must ambaye awali alijulikana kama Xavier Alexander Musk, ambaye hivi karibuni alitimiza umri wa miaka 18, umri ambao ni umri wa utu uzima katika California, ameiomba mahakama ibadili utambulisho wa jinsia yake kutoka ya kiume na kuwa ya kike na kumsajiri kwa jina jipya, kulingana na nyaraka za mahakama zinazopatikana kupitia mtandao wa PlainSite.org.
Jina lake jipya liliondolewa katika waraka wa mtandao. Mama yake ni Justine Wilson, ambaye alitaliakiana na Musk mwaka 2008.
Hakuna maelezo kuhusu nini kilichosababisha kutoelewana baina ya Bw Musk na binti yake.
Chanzo BBC Swahili
View attachment 2267472