Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Kuna mmachame anaitwa Nicole?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uliambiwa Nicole ni jina la ukooKuna mmachame anaitwa Nicole?
Manyanza una mwanasheria? 😹Hivi yale Mabango ya Miaka ya Samia. Yataendelea kubandikwa tena ?
Rafiki wa wote
Hana ubaguzi
Mtetezi wa demokrasia
View attachment 3104254
Nilichogundua katika hii picha, mke wa mheshimiwa Mbowe ni mashallah, ila sasa sura imeanza kujenga nje ya beacon (upara)Nicole Mbowe ambaye ni Mtoto wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ameachiwa huru na Polisi ikiwa ni zaidi ya saa mbili toka alipokamatwa maeneo ya Magomeni Mapipa Jijini Dar es salaam leo September 23,2024.
- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Nicole ameonekana nje ya Kituo cha Polisi cha Oysterbay akiwa na Mama yake Mzazi (Mke wa Mbowe), Lilian Mtei pamoja na Wakili Peter Kibatala ambapo hata hivyo hakuweza kufanya mahojiano na Wanahabari kuelezea kilichotokea hadi kuachiliwa kwake.
Mapema leo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Muliro Jumanne katika mkutano na Waandishi wa Habari alipoulizwa kuhusu kushikiliwa kwa Mtoto huyo, alisema hayumo katika orodha ya Watu 14 waliokamatwa leo katika sakata la maandamano ya September 23.
-
hivi wakistaafu hao polccm siwatarudi mtaaniPolisi inadhalilika sana
Ni jambo jemaNicole Mbowe ambaye ni Mtoto wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ameachiwa huru na Polisi ikiwa ni zaidi ya saa mbili toka alipokamatwa maeneo ya Magomeni Mapipa Jijini Dar es salaam leo September 23,2024.
- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Nicole ameonekana nje ya Kituo cha Polisi cha Oysterbay akiwa na Mama yake Mzazi (Mke wa Mbowe), Lilian Mtei pamoja na Wakili Peter Kibatala ambapo hata hivyo hakuweza kufanya mahojiano na Wanahabari kuelezea kilichotokea hadi kuachiliwa kwake.
Mapema leo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Muliro Jumanne katika mkutano na Waandishi wa Habari alipoulizwa kuhusu kushikiliwa kwa Mtoto huyo, alisema hayumo katika orodha ya Watu 14 waliokamatwa leo katika sakata la maandamano ya September 23.
-
Kabisa! Deployment ilikuwa ya kishamba sana mpaka wa mikoani wameletwa Dar!MAANDAMANO YAMEFANIKIWA SANA, DUNIA NZIMA UMEONA DEPLOYMENT YA POLISI KUKANDAMIZA DEMOKRASIA
Mwambie ukweli huyo pimbi hajielewi kabisa!Kwani uliambiwa Nicole ni jina la ukoo
Polisi inadhalilika sana