Mtoto wa Freeman Mbowe (Nicole) aachiwa na Jeshi la Polisi

Nilichogundua katika hii picha, mke wa mheshimiwa Mbowe ni mashallah, ila sasa sura imeanza kujenga nje ya beacon (upara)
 
TZ bana, Bado tuna la kujifunza hivyo Kila kitu huenda Kwa hatua.
 
Ni jambo jema
 
Habari njema hizi mimi nilijua katekwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…