Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tatizo la Jesca ni kwamba kichwani ni mweupe sana.

Waabeja geete Jesika. Bebe uberile geeete . Banhu bapandikalaga ma pikipili ga kweta milimo na mashuguli. Jesika arena moyo waaape gete. Bise boswe tukutogire geeete,
 
Waswahili wanakamsemo “ shukran ya punda mateke”,
Ehaaha rule nzobe uruyiguta ikukutura na Maguru “

Bebe rekaga ubudoshi gwako. Magufuli alikuwa muaminifu saana, usimsingizie wizi. Amechangia watu na binti yake na yeye anafuata nyayo za baba yake,
Muaminifu huwa anaruhusu demokrasi ili vyombo vya habari vimhoji wizi wake. Jpm hakutaka kabida kiwa na uhuru wa habari kwa sababu anajua alichokuwa anafanya. Trasparency ndo inaondoa ukakasi kana anavyofanya mama
 
Piki piki 5 bado mnapiga picha za kuzitangaza mitandaoni? Kuna yule dogo aligawa box moja la ream paper kwa uvccm
UVCCM wenyewe wametoa nini maana ni pokepokea tu, ingependeza wakajikusanya nchi nzima watoe kitu
 
SAHIHI, Baba yake aliacha HANDAKI la mapesa ya kigeni mchanganyiko.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Magufuli angefanya hivi kweli!? Huyu kapata hizi kutoka kwa kiongozi wa mafisadi Tanzania SSH!
Jesca panga la Mungu laja Jiandae
 
Lucas Mwashambwa umeanza kua Kama lile Bumunda lililotoa Siri za chama baada ya kunywa rubisi.
Mambo yenu ya aibu msiyaweke hadharani.
Hii kitu ilimkost Bumunda na hata wewe unaweza kukosa hizo buku Saba unazopewa za vocha na kununulia msabe na kimpumu.
 
Back
Top Bottom