Tatizo la Jesca ni kwamba kichwani ni mweupe sana.
Waabeja geete Jesika. Bebe uberile geeete . Banhu bapandikalaga ma pikipili ga kweta milimo na mashuguli. Jesika arena moyo waaape gete. Bise boswe tukutogire geeete,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la Jesca ni kwamba kichwani ni mweupe sana.
Muaminifu huwa anaruhusu demokrasi ili vyombo vya habari vimhoji wizi wake. Jpm hakutaka kabida kiwa na uhuru wa habari kwa sababu anajua alichokuwa anafanya. Trasparency ndo inaondoa ukakasi kana anavyofanya mamaWaswahili wanakamsemo “ shukran ya punda mateke”,
Ehaaha rule nzobe uruyiguta ikukutura na Maguru “
Bebe rekaga ubudoshi gwako. Magufuli alikuwa muaminifu saana, usimsingizie wizi. Amechangia watu na binti yake na yeye anafuata nyayo za baba yake,
UVCCM wenyewe wametoa nini maana ni pokepokea tu, ingependeza wakajikusanya nchi nzima watoe kituPiki piki 5 bado mnapiga picha za kuzitangaza mitandaoni? Kuna yule dogo aligawa box moja la ream paper kwa uvccm
Propaganda gani na wakati matokeo yake ya form 4 yalikua publicIlikuwa ni uzushi na propaganda za kijinga za watu wenye wivu na chuki za kijinga.
😂🤣😂🤣😂Piki piki 5 bado mnapiga picha za kuzitangaza mitandaoni? Kuna yule dogo aligawa box moja la ream paper kwa uvccm
Wivu tu na chuki binafsi ndio vinamsumbua huyo.Kwani yeye ni wa kwanza kufeli we vipi?haya wewe uliyefaulu unamzidi nini au umetoa nini?
Yapo wapi.Propaganda gani na wakati matokeo yake ya form 4 yalikua public
Jibu swali, acha kuruka ruka wewe chawaKwani wewe siyo mjinga? Hivi huwa unajiona upo sawa kichwani mtu unayefanya kazi ya umbea muda wote Utafikiri huna kazi za kufanya?
Hakuna swali hapo lenye kuhitaji majibu.Jibu swali, acha kuruka ruka wewe chawa
Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufa?SAHIHI, Baba yake aliacha HANDAKI la mapesa ya kigeni mchanganyiko.
Ungejibu tu hoja kwa jinsi ulivyoleta viroja anyway jesca ana biashara gani baada ya kufeli darasani?!!Siyo Baraza la mitihani hapa.
Hivi kuna mwizi anaemzidi mwendazake mkuu?!!Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufa?
Mwendazake alituibia sana, lakini huyu Mama yenu ndio BALAA..Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufa?
Magufuli angefanya hivi kweli!? Huyu kapata hizi kutoka kwa kiongozi wa mafisadi Tanzania SSH!Ndugu zangu Watanzania,
Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.
Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.
Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ha ha ha ha hivi kati yangu na wewe nani ni hasara kwa taifa na familia.Kama umeumia basi kunywa hata sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani
Bado unashindwa kujibu swali, Hela huyo Kapuku Jesca kapata wapi?Kwani wewe siyo mjinga? Hivi huwa unajiona upo sawa kichwani mtu unayefanya kazi ya umbea muda wote Utafikiri huna kazi za kufanya?
Kapuku Mwenyewe usiyejitambuaBado unashindwa kujibu swali, Hela huyo Kapuku Jesca kapata wapi?
Ondoa ujinga wako hapa weweLucas Mwashambwa umeanza kua Kama lile Bumunda lililotoa Siri za chama baada ya kunywa rubisi.
Mambo yenu ya aibu msiyaweke hadharani.
Hii kitu ilimkost Bumunda na hata wewe unaweza kukosa hizo buku Saba unazopewa za vocha na kununulia msabe na kimpumu.