Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Pre GE2025 Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amwaga Pikipiki kwa UVCCM Mkoa mzima wa Geita

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Ahsante kwa taarifa.
Je! Unajua maana au dalili za corruption??
Huyo mtoto 31yrs anafanya kazi gani? na kwa kipato kipi kufanya hayo??
Nyerere fufuka uione CCM yako japo kwa sekunde chache alafu urudi kabulini mwako.
 
Sasa mtu mwenye fursa karibu zote; baba ni senior minister! Mama mwalimu, lakini pamoja na yote hayo bado unapata Div IV Points 31?!
Kuna akili za aina nyingi

Wewe Umekariri mtu akipata div one ndiyo anakuwa na akili kipimo ambacho ni cha kipumbavu kabisa
 
Ahsante kwa taarifa.
Je! Unajua maana au dalili za corruption??
Huyo mtoto 31yrs anafanya kazi gani? na kwa kipato kipi kufanya hayo??
Nyerere fufuka uione CCM yako japo kwa sekunde chache alafu urudi kabulini mwako.
Baba waziri kwa miaka 20 na Rais wa Nchi kwa miaka 6. Unakosaje Milioni 15?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Binti huyu mdogo ametoa msaada huo wa pikipiki kwa makatibu hao wa UVCCM ili ziweze kuwasaidia watendaji hao wa vijana ngazi ya wilaya katika shughuli zao.hii ni kwa kutambua kuwa jumuiya hiyo ndiyo injini na moyo wa chama na tanuri la kuwapika viongozi mbalimbali wazalendo, wachapakazi, waadilifu na wenye moyo wa kujitoa na kujitolea kwa chama na serikali.

Ndio maana binti huyu Mbichi ameamua kuwa sehemu ya kuijenga na kuipa nguvu UVCCM.ikumbukwe UVCCM itajengwa na wenye moyo na siyo wenye tamaa na uroho wa madaraka na vyeoView attachment 3136209View attachment 3136210View attachment 3136211

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi huyu ndie yulebali pata zero form four? Amefanya kazi gami ya kimpa pesa za kugawa?
 
Sasa mtu mwenye fursa karibu zote; baba ni senior minister! Mama mwalimu, lakini pamoja na yote hayo bado unapata Div IV Points 31?!
Kufeli form iv hata la saba haimaanishi hauna akili hata kama umetoka kwenye familia yenye uwezo kiasi gani.Diamond kashia form 2 lakini tunazungumzia hadi sasa ni tajiri na anamachawa wengine wamesoma sana lakini wanamtegemea yeye, kuna binti nilikuwa nae hapa mtaani kasomeshwa na wazazi wake shule za English medium ada ya Mil 3 kuanzia vidudu mpaka o'level kafeli mara 4 ili aingie form iv maana hizi shule zinautaratibu kwamba kuna marks unatakiwe kufikisha ili uingie form iv yeye alishindwa mara zote na resources zote anazo zakumuwezesha mwisho aliishia hiyo hiyo form iii hakuendelea akajikita kwenye biashara lakini tunazungumzia leo hii ana miliki lodge mbili, maduka matatu moja ya nguo mawili ni ya bidhaa za jumla.
 
Mtoto Wa Hayati Mwalimu Daktari John Pombe Joseph Magufuli Rais Wa awamu ya Tano Ndugu Jesca John Magufuli Amemwaga Pikipiki kwa makatibu wote wa UVCCM Mkoa wa Geita.

Huku na kule huku na kule...

Jesca Magufuli kala uteuzi wa DAS au RAS...
 
Hivi huyu ndie yulebali pata zero form four? Amefanya kazi gami ya kimpa pesa za kugawa?
Mbona diamond kashia form 2 na Millardo ayo kashia form iv angalia status zao zikoje mmoja ni mmiliki wa media, ana hoteli na mwingine ni mmiliki wa YouTube media na ameajiri watu wengi tu na anapesa atashindwa vipi mtoto wa Waziri na Raisi kufanikiwa? kufanikiwa mkuu sio mpaka uajiriwe anaweza pia kujiajiri na ukafanikiwa.
 
Kufeli form iv hata la saba haimaanishi hauna akili hata kama umetoka kwenye familia yenye uwezo kiasi gani.Diamond kashia form 2 lakini tunazungumzia hadi sasa ni tajiri na anamachawa wengine wamesoma sana lakini wanamtegemea yeye, kuna binti nilikuwa nae hapa mtaani kasomeshwa na wazazi wake shule za English medium ada ya Mil 3 kuanzia vidudu mpaka o'level kafeli mara 4 ili aingie form iv maana hizi shule zinautaratibu kwamba kuna marks unatakiwe kufikisha ili uingie form iv yeye alishindwa mara zote na resources zote anazo zakumuwezesha mwisho aliishia hiyo hiyo form iii hakuendelea akajikita kwenye biashara lakini tunazungumzia leo hii ana miliki lodge mbili, maduka matatu moja ya nguo mawili ni ya bidhaa za jumla.
Watu wengi bado wapo gizani, bado wanaamini kufaulu masomo darasani ndiyo kuwa na akili

Hii ni matokeo ya Watu kutokufundishwa kuwa kuna akili nyingine nyingi tena za mhimu zaidi ya IQ ya darasani
 
Watu wengi bado wapo gizani, bado wanaamini kufaulu masomo darasani ndiyo kuwa na akili

Hii ni matokeo ya Watu kutokufundishwa kuwa kuna akili nyingine nyingi tena za mhimu zaidi ya IQ ya darasani
Wazazi wanaomini hivyo ndio kikwazo ya maendeleo ya mtoto mtoto anaweza akamwambia mzee sipendi niendelee na kusoma nataka nifanye vitu vyangu vingine mzee akiangalia ufaulu wa mtoto wake wa kiwango cha juu atamforce aendelee kumbe ridhiki ya mtoto wake haipo kwenye Elimu
 
Wakifanya Kina Pambalu wanaonekana wachochezi akifanya Jesca wanaonekana wazalendo! Hii nchi!??
 
Tunarudi kule kule! Unatumia udhaifu wa chadema kuwahukumu watu!? Haya bhana! Mapambio yaendelee
CHADEMA ni chama kama kitega uchumi cha mtu kilicho mfukoni kwa mtu.ndio maana mwenyekiti yupo madarakani tangia 2004 ,kana kwamba wengine ni mahayawani wasio na uwezo wa kuongoza.
 
Back
Top Bottom