Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Wengi wetu huwa tunaishi na wazazi na ukitoka kwa wazazi unakwenda boarding school baada ya hapo chuo na kuanza kazi. Hakuna formula moja ya maisha, kwa sababu hii na ile inabidi uishi na ndugu na jamaa kwa muda mfupi au mrefu.
Binti wewe uko ugenini unaamka saa nne asubuhi, wenyeji wameshakwenda kazini unatoka chumbani na khanga moja unajaa siting room. Unasikia njaa huyo umesafisha meno na kutengeneza toast umerudi kutafuta cha kuangalia kwenye TV.
Wenyeji wana rudi jioni ndiyo unajikurupusha kwenda kuoga, wala huna wasiwasi kuwa baba mwenye nyumba ni jinsia ya kiume maungo inabidi uyastiri. Unapita na khanga moja kutoka bafuni.
Mwenyeji wako ni auntie ambae ameshakuwa na mashaka na ugeni huu. Akirudi na tiketi yako ya kurudi kwenu Tandahimba unaamni kuwa auntie ni mbaya hapendi kusaidia ndugu.
Binti wewe uko ugenini unaamka saa nne asubuhi, wenyeji wameshakwenda kazini unatoka chumbani na khanga moja unajaa siting room. Unasikia njaa huyo umesafisha meno na kutengeneza toast umerudi kutafuta cha kuangalia kwenye TV.
Wenyeji wana rudi jioni ndiyo unajikurupusha kwenda kuoga, wala huna wasiwasi kuwa baba mwenye nyumba ni jinsia ya kiume maungo inabidi uyastiri. Unapita na khanga moja kutoka bafuni.
Mwenyeji wako ni auntie ambae ameshakuwa na mashaka na ugeni huu. Akirudi na tiketi yako ya kurudi kwenu Tandahimba unaamni kuwa auntie ni mbaya hapendi kusaidia ndugu.