Mtoto wa kike anapswa kusomeshwa sana kumuepushia mazingia hatarishi yanayopunguza furaha na kupunguza siku zake za kuishi

Mtoto wa kike anapswa kusomeshwa sana kumuepushia mazingia hatarishi yanayopunguza furaha na kupunguza siku zake za kuishi

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Mtoto wa kike yuko katika mazingira hatarishi ukilinganisha na mtoto wa kiume!!mtoto wa kike asipopata mahitaji muhimu atatafuta njia nyengine za kujipatia kipato ambazo ni hatarishi kwake .njia hizo mmojawapo ni kujiuza.hakuna kitu kinachoniuma sana ninapopita maeneo kama mbeya pazuri na pale mafiati marufu kama kanivo muda wa jioni.utakuta wazichana wako pale wamevaa nusu uchi Ili wajipatie kipato kutoka kwa wanaume wajinga!! Kwa vyovyote vile ,wale wasichana sidhani kama walifika hata form four.na kama walifika form four lazima walifeli mtihani wa taifa. Siku Moja muda wa saa nane usiku nilipita pale kanivo kundi kubwa la wasichana walinifuata kutaka kujiuza kwangu.nilijisikia vibaya sana kwa sababu Hawa ni watoto wa wazazi kama Mimi!!

Mtoto wa kike akishakosa kipato halali ,atajiuza,atapata mimba bila kutarajia ,ataamua kwenda kuitoa .Hii inakuwa hatari sana maana anaweza kufa kwa kutokwa damu nyingi ,kizazi kuoza nk.lakini pia hata kama ataamua kubeba mimba hiyo anaweza kufia leba wodi wakati anajifungua,anaweza kupata kifafa Cha mimba.mtoto wa kike kama hajasoma au kama uchumi wake hauko sawa ni rahisi sana kunyanyaswa na mwezi wake ,ndugu zake na majira zake na jamii kwa ujumla!!

Ni tofauti sana na mtoto wa kiume.mtoto wa kiume kama hajasoma anaweza kujiajiri au kuajiriwa hata kama mazingira yatakiwa magumu.Maumbile yake hata kama Atakuwa mazingira magumu siyo rahisi kumsababishia umauti tofauti na mtoto wa kike!!

Hivyo Sasa jamii haina budi kumsomesha mtoto wa kike kumuepushia kuishi katika mazingira hatarishi ambayo yanapunguza furaha yake na kumsababishia siku zake kuwa ngumu!!
 
Mtoto wa kike yuko katika mazingira hatarishi ukilinganisha na mtoto wa kiume!!mtoto wa kike asipopata mahitaji muhimu atatafuta njia nyengine za kujipatia kipato ambazo ni hatarishi kwake .njia hizo mmojawapo ni kujiuza.hakuna kitu kinachoniuma saa ninapopota maeneo kama mbeya pazuri na pale mafiati marufu kama kanovo muda wa jioni.utakuta wazichana wako pale wamevaa nusu uchi Ili wajipatie kipato kutoka kwa wanaume wajinga!! Kwa vyovyote vile ,wale wasichana sidhani kama walifika hata form four.na kama walifika form four lazima walifeli mtihani wa taifa. Siku Moja muda wa saa nane usiku nilipita pale kanivo kundi pa wasichana waninifuata kutaka kujiuza kwangu.nilijisikia vibaya sana kwa sababu Hawa ni watoto wa wazazi kama Mimi!!

Mtoto wa kike akishakosa kipato halali ,atajiuza,atapata mimba bila kutarajia ,ataamua kwenda kuitoa na kwa Bahati mbaya ataenda kuitoa.Hii inakuwa hatari sana maana anaweza kufa kuwa kutokwa damu nyingi ,kizazi kuoza nk.lakini pia hata kama ataamua kubeba mimba hiyo anaweza kufia leba wodi wakati anajifungua,anaweza kupata kifafa Cha mimba.mtoto wa kike kama hajasoma au kama uchumi wake hauko sawa ni rahisi sana kunyanyaswa na mwezi wake na hata ndugu zake na majira zake na jamii kwa ujumla!!

Ni tofauti sana na mtoto wa kiume.mtoto wa kiume kama hajasoma anaweza kujiajiri au kuajiriwa hata kama mazingira yatakiwa magumu.Maumbile yake haraka kama Atakuwa mazingira magumu siyo rahisi kumsababishia umauti tofauti na mtoto wa kike!!

Hivyo Sasa jamii haina budi kumsimesha mtoto wa kike kumuepushia kuishi katika mazingira magumu ambayo yanapunguza furaha yake na kumsababishia siku zake kuwa ngumu!!
Pumba tupu.
 
Mkuu kwenye maisha fanya tu what is the best utavojaaliwa ila dunia by nature haiko fair.ndo maana malaya wako dunia nzimq hadi vatikan ,mecca na madina .ww linda wanao walee uonavyo vyema ,saidia wa wengine kiasi utachojaliwa .ila kama hayo yasingekuwa matakwq ya mungu kesho wangetokomea.
Jiulize wote tukisoma nani anachimba vyoo ,nani atazibua vyoo,nani atakubali kuzama mgodini,nani qmewahi penda mwanaye awe bodaboda?
Yote yako sawa ww pokea ulichopewa kwa shukran usidharau masikini wala yeyote ,penda ndugu jamaa na rafiki zako.siku zako ziishe salama ufe.
 
Malezi ndo muhimu zaidi katika kuwafanya wajitambue.

Shule haimfanyi mtu ajitambue.
 
Mbona watoto wa chuo kibao tu wanajiuza? Pia wapo graduates wanajiuza kwa mwamvuli wa 'uslayqueen', wanajiposti mitandaoni huko IG!
Meanwhile, wapo wanawake wengi mno, wasio na elimu hizo tajwa, wapi masokoni na mitaani wanafanya biashara na maisha yao yapo safi.

Kujiuza Kuna uhusiano mdogo sana na kiwango Cha elimu. It's more of malezi ya mtu.

NB: Watoto wote wapewe elimu na fursa zingine kwa usawa. Hii propaganda ya kufavor wanawake ifike kikomo.
 
Mbona watoto wa chuo kibao tu wanajiuza? Pia wapo graduates wanajiuza kwa mwamvuli wa 'uslayqueen', wanajiposti mitandaoni huko IG!
Meanwhile, wapo wanawake wengi mno, wasio na elimu hizo tajwa, wapi masokoni na mitaani wanafanya biashara na maisha yao yapo safi.

Kujiuza Kuna uhusiano mdogo sana na kiwango Cha elimu. It's more of malezi ya mtu.

NB: Watoto wote wapewe elimu na fursa zingine kwa usawa. Hii propaganda ya kufavor wanawake ifike kikomo.
Duuu!! Kama kuna mtoto wa kike aliyesoma na Bado anajiuza hapo shida ni Ile ile ya kukosa kipato halali.aidha amekosa ajira kulingana na alichokisomea.Unemployement ni tatizo hapo !!
 
Mtoto wa kike yuko katika mazingira hatarishi ukilinganisha na mtoto wa kiume!!mtoto wa kike asipopata mahitaji muhimu atatafuta njia nyengine za kujipatia kipato ambazo ni hatarishi kwake .njia hizo mmojawapo ni kujiuza.hakuna kitu kinachoniuma sana ninapopita maeneo kama mbeya pazuri na pale mafiati marufu kama kanivo muda wa jioni.utakuta wazichana wako pale wamevaa nusu uchi Ili wajipatie kipato kutoka kwa wanaume wajinga!! Kwa vyovyote vile ,wale wasichana sidhani kama walifika hata form four.na kama walifika form four lazima walifeli mtihani wa taifa. Siku Moja muda wa saa nane usiku nilipita pale kanivo kundi kubwa la wasichana walinifuata kutaka kujiuza kwangu.nilijisikia vibaya sana kwa sababu Hawa ni watoto wa wazazi kama Mimi!!

Mtoto wa kike akishakosa kipato halali ,atajiuza,atapata mimba bila kutarajia ,ataamua kwenda kuitoa .Hii inakuwa hatari sana maana anaweza kufa kwa kutokwa damu nyingi ,kizazi kuoza nk.lakini pia hata kama ataamua kubeba mimba hiyo anaweza kufia leba wodi wakati anajifungua,anaweza kupata kifafa Cha mimba.mtoto wa kike kama hajasoma au kama uchumi wake hauko sawa ni rahisi sana kunyanyaswa na mwezi wake ,ndugu zake na majira zake na jamii kwa ujumla!!

Ni tofauti sana na mtoto wa kiume.mtoto wa kiume kama hajasoma anaweza kujiajiri au kuajiriwa hata kama mazingira yatakiwa magumu.Maumbile yake hata kama Atakuwa mazingira magumu siyo rahisi kumsababishia umauti tofauti na mtoto wa kike!!

Hivyo Sasa jamii haina budi kumsomesha mtoto wa kike kumuepushia kuishi katika mazingira hatarishi ambayo yanapunguza furaha yake na kumsababishia siku zake kuwa ngumu!!
Wapo kibao walioko vyuo vikuu ila vitendo vyao ni zaidi ya wale wanaojiuza carnival.
 
Mtoto wa kike yuko katika mazingira hatarishi ukilinganisha na mtoto wa kiume!!mtoto wa kike asipopata mahitaji muhimu atatafuta njia nyengine za kujipatia kipato ambazo ni hatarishi kwake .njia hizo mmojawapo ni kujiuza.hakuna kitu kinachoniuma sana ninapopita maeneo kama mbeya pazuri na pale mafiati marufu kama kanivo muda wa jioni.utakuta wazichana wako pale wamevaa nusu uchi Ili wajipatie kipato kutoka kwa wanaume wajinga!! Kwa vyovyote vile ,wale wasichana sidhani kama walifika hata form four.na kama walifika form four lazima walifeli mtihani wa taifa. Siku Moja muda wa saa nane usiku nilipita pale kanivo kundi kubwa la wasichana walinifuata kutaka kujiuza kwangu.nilijisikia vibaya sana kwa sababu Hawa ni watoto wa wazazi kama Mimi!!

Mtoto wa kike akishakosa kipato halali ,atajiuza,atapata mimba bila kutarajia ,ataamua kwenda kuitoa .Hii inakuwa hatari sana maana anaweza kufa kwa kutokwa damu nyingi ,kizazi kuoza nk.lakini pia hata kama ataamua kubeba mimba hiyo anaweza kufia leba wodi wakati anajifungua,anaweza kupata kifafa Cha mimba.mtoto wa kike kama hajasoma au kama uchumi wake hauko sawa ni rahisi sana kunyanyaswa na mwezi wake ,ndugu zake na majira zake na jamii kwa ujumla!!

Ni tofauti sana na mtoto wa kiume.mtoto wa kiume kama hajasoma anaweza kujiajiri au kuajiriwa hata kama mazingira yatakiwa magumu.Maumbile yake hata kama Atakuwa mazingira magumu siyo rahisi kumsababishia umauti tofauti na mtoto wa kike!!

Hivyo Sasa jamii haina budi kumsomesha mtoto wa kike kumuepushia kuishi katika mazingira hatarishi ambayo yanapunguza furaha yake na kumsababishia siku zake kuwa ngumu!!
Kusoma sana pekeake haisaidii, anatakiwa awe na vitega uchumi vya kumuendeshea maisha. Vimpatie hela tena nyingi tu.
 
Back
Top Bottom